• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waliotoa eneo la zahanati wapewe viwanja mbadala – Mhe. Mkhandi

Imewekwa tarehe: April 27th, 2023

Na. Dennis Gondwe, Ntyuka -DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeshauriwa kuwatafutia viwanja mbadala wananchi walioachia maeneo yao kupisha ujenzi wa Zahanati ya Ntyuka kwa lengo la kusogeza huduma karibu na wananchi.

Ushauri huo ulitolewa na kiongozi wa timu namba mbili ya Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Daud Mkhandi alipoongoza kamati hiyo kutembelea na kukagua ukarabati wa Zahanati ya Ntyuka iliyopo Kata ya Ntyuka jijini hapa.

Mkhandi alisema kuwa wananchi wanaodai viwanja ndani ya eneo la zahanati wapewe viwanja mbadala. Vilevile, alishauri ukuta wa zahanati hiyo ufanyiwe skimming na kupigwa rangi.

Akisoma taarifa fupi ya ukarabati wa Zahanati ya Ntyuka Tabibu, Sophia Lusoloja alisema kuwa zahanati iliipokea shilingi 30,817,663 kwa ajili ya ukarabati. “Kazi zilizofanyika ni kuondoa paa la zamani, kupiga kenchi mpya, kuezeka paa jipya, kuweka matungilizi na kupiga plasta sehemu zilizokuwa zimeharibika” alisema Lusoloja.

Ikumbukwe kuwa jiwe la msingi la Zahanati ya Ntyuka liliwekwa na aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais Mheshimiwa John Samwel Malechela tarehe 24 Novemba, 1993.

Matangazo

  • Matokeo ya Uchaguzi Kata ya Nala September 19, 2023
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili kada ya Dereva Daraja II na Mtendaji wa Mtaa Daraja III September 16, 2023
  • Maadhimisho ya Siku ya Usafi wa Duniani September 14, 2023
  • Heri ya mtihani wa Taifa Darasa la Saba September 11, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Indonesia yajipanga kuhamishia ubalozi Dodoma

    September 19, 2023
  • Nala wanamchagua diwani wao tena leo

    September 19, 2023
  • Jiji Dodoma kukamilisha jengo la maabala sekondari ya Wella

    September 18, 2023
  • Vifaa vya Milioni 9 vya maabara vyakabidhiwa Dodoma

    September 18, 2023
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.