• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

WanaDodoma wamuenzi Hayati JPM kwa mapokezi makubwa

Imewekwa tarehe: March 21st, 2021

JIJI la Dodoma leo limegubikwa na vilio, majonzi, huzuni na machozi kila kona baada ya mwili wa aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17 mwaka huu kuwasili jijini Dodoma.

Mwili wa Hayati Dkt. Magufuli umewasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma majira ya saa 12:54 za jioni na kupokelewa na Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge, pamoja na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Wananchi wa Jiji la Dodoma ambao licha ya mwili wa Hayati Dkt. Magufuli kuchelewa kufika, lakini bado walizidi kujipanga barabarani na kumsubiri shujaa wao bila kuchoka wakiimba nyimbo za maombolezo.

Wananchi wengi waliojumuika kwenye barabara za Jiji la Dodoma wakiimba "Jeshi, Jeshi, Jeshi," "Rais, Rais, Rais," "Baba, Baba, Baba," "Magu, Magu, Magu," huku wengine wakilia ni uthibitisho tosha kwamba Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alikua kipenzi cha watanzania na wana-Dodoma ambao amewafanyia mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuhamishia rasmi Makao Makuu ya Serikali Dodoma, kuipandisha iliyokuwa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kuwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi, Soko Kuu la Job Ndugai, barabara za mzunguko, bustani ya mapumziko Chinangali, kituo cha kuegesha malori Nala, ujenzi wa barabara za lami kwenye mitaa mbalimbali na kadharika.

Wananchi wa Dodoma wameusindikiza mwili wa Hayati Dkt. Magufuli kutokea Uwanja wa Ndege kupitia maeneo ya Chako ni Chako, barabara ya Nyerere hadi mzunguko wa Jamatin, kisha kuelekea barabara ya Bunge, barabara ya Morogoro maeneo ya Chadulu, Ipagala, Nzuguni, Ihumwa, Mtumba hadi Ikulu ya Chamwino ambapo mwili wake utapumzishwa kwa usiku wa leo hadi kesho ambapo Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ataagwa rasmi kitaifa.

Kesho wananchi wa Jiji la Dodoma watapata fursa ya kushiriki shughuli ya kumuaga Hayati Dkt. Magufuli ambapo tukio hilo litafanyika kitaifa katika uwanja wa Jamhuri na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi  likitanguliwa na zoezi la kumuombea na kuagwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.