• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wanafunzi watakiwa kushika mafundisho wanayopewa shuleni

Imewekwa tarehe: June 19th, 2023

Na. Theresia Nkwanga, IYUMBU

Wanafunzi wa Shule ya Msingi na Sekondari Iyumbu wametakiwa kuwa na tabia nzuri, kushika mafundisho wanayopewa shuleni na nyumbani pia kuachana na mambo ya utandawazi sababu unasababisha mporomoko wa maadili.

Kauli hiyo ilitolewa na Diwani wa Viti Maalum wa Jiji la Dodoma, Wendo Kutusha alipokuwa akiongea na wanafunzi wa Shule ya Msingi na Sekondari Iyumbu iliyopo Kata ya Iyumbu, Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Kutusha alisema kuwa wanafunzi wanatakiwa kutii na kuheshimu mafundisho wanayopewa, kuacha kuiga mambo ya mitandaoni ambayo kwa kiasi kikubwa yanapelekea watoto kuharibikiwa na kushindwa kuzifikia ndoto zao. “Wewe ukiwa msichana ukaolewa na msichana mwenzako malengo yako yatatimia? utaweza kuwa mama? na kwa wavulana vilevile, mkioana wavulana kwa wavulana mtakuwa baba?, tuache kuiga mambo ya mitandaoni yanaharibu malengo yetu. Niwaombe watoto wangu wazuri muwatii wazazi wenu muwatii wakubwa wenu, ukifanya matendo mabaya mkubwa anapokuadhibu mwambie asante unanifundisha tabia njema. Acheni kuwatukana wakubwa wenu wanapowarekebisha sio tabia nzuri” alisema Kutusha.

Akiongelea kuhusu ukatili wakijinsia alisema kuwa kuporomoka kwa maadili kwenye jamii ni moja kati ya sababu kubwa inayosababisha vitendo vya ukatili wa kijinsia kuendelea kushamiri.

“Siku hizi watoto mnavaa nguo za hovyo zinazoonesha sehemu zenu za miili yenu hasa nyie wakike, mnasema mnaenda na fasheni mnatembea vitovu wazi hali inayopelekea kufanyiwa matendo ya ukatili wakijinsia. Mnapovaa nguo zinazoshawishi kuna wanaume wasio na maadili wanashawishika nakuanza kuwasumbua kimapenzi, wengine wanaenda mbali zaidi na kuwataka kinguvu huku wakiwapa vitisho” alisema Kutusha.

Aidha, alimshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mikopo isiyo na riba kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu. Mikopo hiyo imekuwa chachu katika kuwainua kiuchumi. “Mtu anapofanya kazi nzuri lazima tumpongeze, Rais wetu anatuheshimisha sasa tunatembea kifua mbele tunaachana na mikopo ya kausha damu. Hivyo, niwaombe wenzangu tuwe waaminifu turejeshe kwa wakati tusiporudisha tunasababisha wengine wanakosa mikopo. Jana tulikuwa nzughuni mkopo uliopita walipata milioni 50 ila sasa hivi wamepata milioni 300 kigezo kikubwa ni kurudisha kwa wakati”. alisema Kutusha.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.