• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi Dodoma wampokea Rais Samia Chinangali

Imewekwa tarehe: September 26th, 2021

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 26 Septemba, 2021 amewasili Jijini Dodoma akitokea Dar es Salaam na kupokelewa na wananchi wa Jiji la Dodoma wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, Mawaziri, Wabunge mbalimbali pamojana Madiwani.

Mhe. Rais Samia amewashukuru wananchi wa Jiji la Dodoma kwa kujitokeza kwa wingi kumpokea na kuelelza kuwa mbali na kuhudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa pia Mkutano huo umemuwezesha kukutana na Marais wenzake na Wakuu wa Taasisi mbalimbali na kuahidiwa kuwa wapo tayari kufanya kazi na Serikali ya Tanzania katka kuwaletea Wananchi maendeleo.

Aidha, Mhe. Rais Samia amesema katika kipindi cha miezi sita tangu Serikali ya Awamu ya Sita kuingina madarakani idadi ya wawekezaji na wafanyabiashaara wameongezeka kwa kiwango kikubwa hivyo kuchochea kasi ya maendeleo.

Mara baada ya kuwasilli Chamwino, Mhe. Rais Samia amepokewa na wakazi wa Wilaya hiyo ambao walimkaribisha rasmi kama mkazi mwenzao na kumpatia zawadi ya Ng’ombe wa maziwa, kumvika mavazi ya kimila na kumkabidhi Ngao na Mkuki kama ishara ya Kinga na Ulinzi wa Nchi.

Mhe. Rais Samia amewahakikishia wananchi hao kuwa atahakikisha anazitatua changamoto zinazowakabili ikiwa ni pamoja na zile zilizoahidiwa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Vile vile, Mhe. Rais Samia ameahidi wananchi hao kuwa Serikali itaboresha huduma za jamii ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama, ujenzi wa madarasa ya wanafunzi pomaja na Soko la biashara.

Mhe. Rais Samia amewaomba wananchi wa Dodoma wa Watanzania kwa ujumla kuendelea kudumisha amani ili kuiwezesha Serikali kutekeleza miradi ya maendeleo na kukuza uchumi wa nchi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.