• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi Kata ya Chamwino watakiwa kuzingatia lishe bora

Imewekwa tarehe: June 4th, 2023

Na. Dennis Gondwe, CHAMWINO

WANANCHI wa Kata ya Chamwino wametakiwa kuzingatia lishe bora ili kujikinga na udumavu na magonjwa ili wawe na afya njema itakayowawezesha kuzalisha mali.

Kauli hiyo ilitolewa na Kaimu Mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Situ Muhunzi alipokuwa akiongea na mamia ya wananchi wa Kata ya Chamwino waliojitokeza katika maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe iliyofanyika katika viwanja vya Wajenzi jijini Dodoma.

Muhunzi alisema “lishe bora ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Awali Afisa Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma alitueleza makundi matano ya ambayo ni Kundi la nafaka mizizi na ndizi mbichi, Kundi la Vyakula vya asili ya wanyama na jamii ya mikunde, Kundi la mbogamboga, Kundi la matunda, na Kundi la asali, sukari na mafuta. Kwa Mkoa wa Dodoma bado udumavu upo kwa asilimia 30.7 na miaka mitatu nyuma tulikuwa asilimia 37”.

Afya na lishe ni muhimu kwa wananchi wote, endeleeni kutumia kutuo cha kutolea huduma za Afya cha Chamwino ili kupata elimu ya lishe na huduma nyingine za afya na tiba. “Na leo hapa tumeleta huduma mbalimbali za kuchungaza hali ya lishe, virusi vya Ukimwi na kupata vitamin A kwa watoto na kufuatilia mapishi ya chakula lishe kilichokuwa kinaandaliwa hapa uwanjani” alisema.

Akiongelea afya na lishe, alisema kuwa vinaenda sambamba na ufanyaji wa mazoezi. “Mazoezi ni muhimu katika kujenga na kuboresha afya za wananchi wa Kata ya Chamwino na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ujumla. Mazoezi yanatukinga na magonjwa yasiyoambukiza ambayo yameibuka kwa wimbi kubwa katika siku hizi. Hivyo, ni muhimu kwa wananchi kufanya mazoezi kama ambavyo tumefanya leo” alisema Muhunzi.

Maadhimsiho ya Siku ya Afya na Lishe katika Kaya ya Chamwino yaliongozwa na kaulimbiu isemayo “Lishe bora kwa ustawi wa afya zetu na maendeleo ya kata yetu”.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.