• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi Matumbulu kufurahia ujenzi ofisi mpya ya Kata

Imewekwa tarehe: March 26th, 2025

Na, Nancy Kivuyo MATUMBULU

SERIKALI ya awamu ya sita inalenga kuboresha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa wafanyakazi wa serikali ili waweze kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kujenga na kuboresha Ofisi ya Afisa Mtendaji wa Kata ya Matumbulu, Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

 Kauli hiyo ilitolewa na Afisa Mtendaji Kata ya Matumbulu, Zubery Mbawala alipokuwa akiongelea mafanikio ya serikali ya awamu ya sita kwa waandishi wa habari waliofanya ziara ya kutembelea miradi iliyotekelezwa na serikali katika Kata ya Matumbulu, jijini Dodoma.

 Mbawala alisema kuwa ujenzi wa Ofisi ya Afisa Mtendaji wa Kata ya Matumbulu ulianza kwa michango ya nguvu za wananchi. “Wananchi walijitolea eneo na wakaanza ujenzi kwa nguvu zao, baadae serikali ndio ikawapokea, kuendeleza ujenzi huo kwa kutoa kiasi cha shilingi 67,000,000 ili kuhakikisha ujenzi huo unakamilika na wananchi wanapata huduma bora. Hata sasa ofisi hii inatumika japo ipo katika hatua za mwisho kukamilika” alisema Mbawala.

 Aliongeza kuwa ofisi hiyo kwa miaka minne ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imeboresha eneo la utawala bora. Huduma tunazotoa zimeendelea kuistawisha kata yetu hata sasa kuna utulivu, amani na shughuli za maendeleo zinafanywa kwa ufanisi mkubwa sana. Hivyo, tunaishukuru serikali kwa jitihada hizi kubwa za kuhakikisha wananchi wanasogezewa huduma muhimu kwenye maeneo yao” alimalizia Mbawala.

 Nae Diwani wa Kata ya Matumbulu, Emmanuel Chibago alisema kuwa kuanzia mwaka 2020 hadi 2025 serikali imefanya kazi nzuri katika kuwapelekea maendeleo wananchi yanayochochea ushiriki katika uanzishwaji wa miradi ya maendeleo. “Tunawapongeza wananchi kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo. Sio tu ofisi ya kata wameianzisha wao, miradi mingine mingi ni wao ndio waanzilishi, tunawapongeza kwa hilo” alisema Chibago.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.