• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi Mbuyuni Kizota waanza kupimiwa maeneo yao baada ya miaka 30

Imewekwa tarehe: June 8th, 2020

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde na Mkurugenzi wa Jiji Godwin Kunambi leo wameongoza zoezi la usimikaji wa alama ya mpaka katika eneo la Mbuyuni, Kata ya Kizota kuashiria kuanza rasmi kwa zoezi la upimaji na umilikishaji ardhi kwa kaya zaidi ya 8,100.

Zoezi hilo la upimaji litamaliza tatizo lilidumu kwa miaka 30 juu ya uhalali wa makazi ya wananchi katika eneo hilo ambapo awali lilipangiwa matumizi mengine na hivyo nyumba hizo za wananchi kutakiwa kuvunjwa.

Akitoa maelezo ya awali,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Survey Ltd Daud Msungu ameeleza kwamba zoezi la upimaji na utambuzi wa mipaka litaanza mapema leo kwa haraka na weledi mkubwa.

"Namshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kudhihirisha utetezi wake kwa wanyonge ambao kwa takribani miaka 30 hawakuwa na uhakika wa makazi yao katika eneo hili.

Nakushukuru pia Mkurugenzi wa Jiji Ndugu Kunambi kwa utekelezaji wa maagizo na Mhw. Diwani Jamal Ngallya kwa ufuatiliaji. Leo wananchi mtalala kwa amani baada ya kupata uhakika wa umilikishwaji wa maeneo haya" alisema Mavunde.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amewataka wananchi wao kuhakikisha wanalipia malipo ya kisheria mapema ili zoezi la kumilikishwa likamilike kiurahisi na kuahidi kuboresha miundombinu ya barabara pamoja na huduma nyingine muhimu sambamba na ujenzi mpya wa Shule ya Msingi.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambia akifafanua jambo mbele ya wananchi wa Mbuyuni.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Mhe. Anthony Mavunde akiongea na wapiga kura wake baada ya kupata ufumbuzi wa tatizo ambalo limekuwa likiendelea kuwepo kwa zaidi ya miaka 30,


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.