• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi tunzeni chakula cha kutosha msimu huu - Rc Senyamule

Imewekwa tarehe: April 18th, 2024

WANANCHI wa Kijiji cha Ilindi, Kata ya Ilindi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, wametakiwa kutunza chakula baada ya kupata mavuno kuepuka kupata upungufu wa chakula kufuatia mvua nyingi kunyesha kwenye kipindi cha msimu wa kilimo mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati alipofanya Mkutano wa hadhara na Wananchi wa Kata hiyo kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Ilindi.

Suala la utunzaji wa chakula limesisitizwa kwa kuzingatia juhudi za Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwekezwa fedha nyingi kwenye kilimo.

"Serikali yetu imewekeza kujenga mabwawa ya umwagiliaji ili kuimarisha Kilimo. Nitoe msisitizo, tutunze chakula cha kutosha kutokana na mvua nyingi zilizonyesha mwaka huu. Tunza chakula unapovuna, uza ziada. Haitaleta sura nzuri kusikia munahitaji chakula baada ya kumalizika msimu huu wa Kilimo" Amesisitiza Mhe. Senyamule.

Aidha, msisitizo huo umefuatia kero mbalimbali zilizowasilishwa mbele yake ambazo zinaikabili Kata hiyo na zimepatiwa majawabu kutoka kwa wataalamu walioambatana na Mkuu wa Mkoa.

Awali, Mkuu wa Mkoa alikagua mradi wa vyumba viwili vya Madarasa na Ofisi moja ambao umeshakamilika na unatumika kwa Sasa kwenye shule hiyo na umegharimu Shilingi Milioni 40 zenye mchanganuo wa; Milioni 2.5 kutoka kwenye mapato ya ndani, Milioni 2.5 nguvu za wananchi na Milioni 35 kutoka Serikali kuu kupitia Mradi wa SEQUIP.

Mradi huo umesaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani kwani Sasa wanaweza kukaa kwa nafasi tofauti na awali hali inayopelekea kupata nafasi ya kusoma pasi na bughudha.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.