• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi wajivunia usafi Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: July 23rd, 2020

Wakazi wa maeneo tofauti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma, wamezungumzia hali ya usafi katika Jiji hilo huku wakipongeza jitihada kubwa zinazofanywa na Halmashauri ya Jiji katika uboreshaji wa hali ya usafi katika maeneo mbalimbali.

Akizungumza na Dodoma City Tv mkazi wa mtaa wa Barabara ya nane Ramadhani Mussa amesema Halmashauri ya Jiji imepiga hatua kubwa katika suala la usafi ukilinganisha na ilivyokua awali, ambapo hali haikuwa nzuri katika baadhi ya maeneo mfano barabara, masoko na vituo vya usafiri.

“kiukweli Jiji limepiga hatua nzuri, tunaona maendeleo makubwa kwenye upande wa usafi, tunawapongeza watu wa mazingira wanafanya kazi kubwa sana, barabara zinafagiliwa kila siku asubuhi yaani jiji linang’aa” – Alisema Mussa.

Kwa upande wake Edson Magaya mkazi wa Maili mbili amesema kuwa anafurahishwa na uwepo wa magari mengi ya taka yanayofanya kazi ya kubeba taka kutoka kwenye maeneo ya kukusanyia taka na kuzipeleka nje ya mji kwenye dampo na kuuacha mji ukiwa katika hali ya usafi.

Magaya pia amelipongeza Jiji la Dodoma kwa kuweka vitunzia taka kwenye kila eneo, hasa maeneo yenye mikusanyiko kama vile masoko, vituo vya daladala, vituo vya Afya, mashule pamoja na Vyuo.

“Siku hizi anaetupa taka hovyo, ni haki kuadhibiwa kwasababu atakua amefanya makusudi, kwasababu kila kona kuna vitupia taka kwa hiyo mtu utakosa sababu ya kutupa taka hovyo, kiukweli jiji linapendeza na mabadiliko tunayaona” aliongeza Magaya.

Ramadhani Mussa mkazi wa Barabara ya nane jijini Dodoma akizungumza na mwandishi wetu juu ya hali ya usafi Jijini Dodoma.


Mkazi wa Maili mbili Edson Magaya alipokuwa akizungumza na mwandishi wetu kuhusu hali ya usafi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.