• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi washauriwa kuiamini CHF iliyoboreshwa

Imewekwa tarehe: August 24th, 2020

Mratibu wa Bima ya Afya ya Jamii ya CHF Iliyoboreshwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Patrick Sebiga amezungumzia changamoto wanazokutana nazo katika zoezi la kuwahamasisha Wananchi kujiunga na Bima hiyo, huku changamoto kubwa ikiwa ni uelewa wa Wananchi juu ya Bima hiyo hasa urahisi wa upatikanaji wake kwamba sio jambo la kawaida kutibiwa watu sita kwa gharama ya shilingi elfu thelathini kwa Mwaka mzima.

Sebiga ameyasema hayo leo ofisini kwake alipokua akizungumzia mafanikio waliyoyapata katika Maonesho ya Wakulima ya Nanenane 2020 ambayo kwa Kanda ya Kati yalifanyika Jijini Dodoma.

Amesema kuwa idadi ya wananchi wanaofika katika ofisi zao ili kukata Bima hiyo imeongezeka baada ya kumalizika kwa Maonesho ya Nanenane jambo ambalo linaonesha mapokeo mazuri ya CHF iliyoboreshwa, licha ya Wananchi walio wengi kuhofia upatikanaji wa huduma Bora katika Vituo vya Afya ukilinganisha na bei ya Bima hiyo.

”Changamoto kubwa tunayokutana nayo ni Watu kutoamini kwamba shilingi elfu thelathini inaweza kutibu watu sita kwa mwaka mzima na wote wakapata huduma nzuri, ila niwahakikishie Watanzania hasa wa Dodoma kuwa Bima hii imeletwa ili kumkomboa mtu wa chini, kwa hiyo wajiunge na wawaulize wale wenye Bima hizi kuhusu huduma wanazopata watapata majibu” Alisema Sebiga.

Aidha, Sebiga aliwashukuru Wananchi wanaoendelea kuwa mabalozi wazuri wa Bima hiyo jambo ambalo linafanya idadi ya walioandikishwa kuwa kubwa kwani kwa kufanya hivyo wanaokoa idadi kubwa ya Watanzania ambao wangeweza kupoteza maisha kutokana na uwepo wa gharama kubwa za matibabu.

Pia amewashukuru wafanyakazi wenzake ambao walishirikiana kwa pamoja na kuhakikisha idadi kubwa ya wananchi waliotembelea katika Maonesho ya Nanenane wanapata Bima hizo jambo lililopelekea Mfuko huo wa Bima ya CHF iliyoboreshwa kushika nafasi ya pili kwenye maonesho hayo kwa upande wa Sekta zinazotoa Bima za Matibabu.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.