• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi washauriwa kutumia Ofisi za Kata, Mitaa

Imewekwa tarehe: March 4th, 2019

WAKAZI wa Jiji la Dodoma wameshauriwa kufikisha kero na malalamiko yao mbalimbali yanayohusu huduma zinatolewa na Halmashauri katika Ofisi za Kata na Mitaa badala ya kwenda moja kwa moja Ofisi Kuu za Jiji ili kuokoa muda na gharama kwani Mfumo wa Serikali unaanzia kwenye ngazi ya Mtaa au Kijiji.

Ushauri huo umetolewa na Ofisa Malalamiko katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma Gisela Mmavele alipokuwa akitoa elimu ya upokeaji na ushughulikiaji wa malalamiko ya Wananchi katika kipindi cha ‘Dodoma live mtaani’ kinachorushwa na kituo cha redio Dodoma FM jana ofisini kwake.

Ofisa huyo alishauri Wananchi wanaokuwa na malalamiko ya kiutendaji na huduma zinazotolewa katika maeneo yao kuanzia kuwasilisha malalamiko hayo kwa Watendaji wa maeneo yao ili yaweze kushughulikiwa mapema hali itakayoboresha zaidi ushughulikiaji wa malalamiko kwa wakati.

“Yapo malalamiko ambayo utatuzi wake upo katika ngazi ya Mtaa na Kata, kitendo cha mwananchi kufunga safari kuja Makao Makuu ya Halmashauri kinampotezea muda mwingi na kumuongezea gharama” alisema Mmavele.

Mmavele alisema kuwa katika kuhakikisha wananchi wanahudumiwa vizuri na kuondoa kero zitokanazo na utolewaji wa huduma katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, yupo Ofisa maalum kwa ajili ya kupokea, kuratibu na kushughulikia malalamiko ya wananchi.

“Malalamiko hayo hupokelewa, husikilizwa, na kutatuliwa katika hali ya usiri mkubwa”, aliongeza.

“Tumekula kiapo cha kutunza siri, hivyo huwezi kukuta taarifa ya malalamiko yaliyowasilishwa sehemu isiyotakiwa…na tumekuwa na utaratibu mzuri wa utoaji majibu kwa wale wote wanaowasilisha malalamiko yao kwetu” alisisitiza Mmavele.

Halmashauri ya jiji la Dodoma imeanza utaratibu wa kutoa elimu kwa umma kuhusu uwepo wa Kitengo cha kupokea, kusikiliza, na kutatua malalamiko ya Wananchi ili kuondoa manung’uniko katika jamii na kuwahakikishia wananchi huduma bora.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.