• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi washukuru madaktari wa BMH kwa huduma nzuri katika kambi ya matibabu ya kibingwa

Imewekwa tarehe: July 15th, 2024

Na Carine Abraham Senguji, Dodoma

HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH) inashiriki kambi maalum ya matibabu ya kibingwa inayofanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Center (JKCC) kuanzia Julai 15-25, 2024.

Katika kambi hiyo wananchi wamejitokeza kwa wingi na kushukuru kwa huduma nzuri za kibingwa walizopatiwa na madaktari wa BMH.

Mary Penda ni mmoja wa wananchi waliojitokeza kupata huduma za uchunguzi kutoka kwa madaktari wa BMH na kushukuru kwa huduma nzuri.

"Mimi hapa nimemleta mama yangu kupata huduma na nimefurahishwa sana na huduma niliyopata katika banda la BMH kwani huduma ni nzuri na wahudumu ni wakarimu sana," amesema Bi. Mary.

Penda ameendelea kwa kuipongeza BMH kwani siku zote wanatoa huduma nzuri hata katika Hospitali yao.

"Kwakweli naishukuru sana BMH nimefika mara kadhaa kupata huduma pale na huduma zao ni za viwango vya hali ya juu," ameongeza Bi. Mary.

Katika hatua nyingine Amani Petro ameishukuru mkoa wetu wa Dodoma na kuwakutanisha na Madaktari bingwa kwaajili ya uchunguzi.

"Naishukuru serikali yetu kwa kufanya kambi ya uchunguzi wa matibabu bure kwani itasaidia wananchi kujua afya zao hivyo natoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi," ameeleza Bw. Amani.

Dkt. Baraka Alphonce ambae ni daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na mmoja wa washiriki kutoka BMH amesema kuwa katika kambi hii BMH itatoa huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo na magonjwa ya ndani kwa wananchi wote watakaofika kupata huduma.

"Tumekujana na vipimo vya uchunguzi wa magonjwa ya moyo, shinikizo la damu na kisukari hivyo tunaomba Watanzania kufika kwa wingi kwaajili ya kufanya uchunguzi huu ambao ni bure kabisa," amesema Dkt. Baraka.

Hata hivyo Dkt. Baraka ameiomba Ofisi ya Mkoa kutangaza huduma hii kwa ukubwa ili watu wajitokeze kwa wingi kuja kujua afya zao

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.