• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wanawake wa Juhudi, waanza kula matunda ya mkopo wa maendeleo

Imewekwa tarehe: July 15th, 2019

VIKUNDI vya maendeleo ya wanawake katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma vimetakiwa kuwa mabalozi katika jamii juu ya umuhimu wa shughuli za kujiletea maendeleo ili wengine waweze kujiunga.

Ushauri huo ulitolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe alipoongoza Kamati ya Fedha na Uongozi kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo leo walipotembelea kikundi cha kina mama cha Juhudi.

Prof. Mwamfupe alisema kuwa wanufaika wa vikundi vya maendeleo wanatakiwa kuwa mabalozi kwa wengine kuhusiana na mafanikio ya kiuchumi yanayopatikana kupitia shughuli za maendeleo za vikundi. “Wapo wakina mama ambao wametulia na hawafanyi shughuli za uzalishaji mali. Ninyi mnatakiwa kuwa mabalozi kwa kuwaonesha na kuwaelezea umuhimu wa kujiunga katika vikundi na kufanya shughuli za uzalishaji mali” alisema Prof. Mwamfupe.

Aidha, alikitaka kikundi hicho kuzingatia usafi ili kutengeneza maandazi yaliyo katika ubora unaokubalika. “Pamoja na usafi katika shughuli zenu za kutengeneza maandazi ili kulinda afya za walaji, hakikisheni mazingira mnayofanyia kazi yanakuwa safi na mandhari yakuvutia” aliongeza Prof. Mwamfupe.

Awali mwenyekiti wa kikundi hicho, Zuhura Juma alisema kuwa kikundi hicho cha kutengeneza maandazi kinauwezo wa kutengeneza maandazi 7,500 kwa siku. “Mheshimiwa Mstahiki Meya, kikundi hiki kinatengeneza faida ya shilingi 50,000 kwa siku” alisema Juma.

Akiongelea mafanikio ya kikundi hicho, Juma aliyataja kuwa ni kufanikiwa kununua mashine ya kukanda unga wa ngano kwa ajili ya kutengeneza maandazi. Mengine ni kutoa ajira sita, kununua jiko kubwa la gesi kwa ajili ya kurahisisha shughuli za uchomaji maandazi na kuhifadhi mazingira.

Kikundi cha Juhudi kina wanachama watano na wafanyakazi sita, kilipatiwa mkopo wa shilingi milioni 10 na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia mfuko wa maendeleo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Utengenezaji wa maandazi katika kikundi cha Juhudi

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe (kulia) akifurahia kazi za kikundi cha wanawake cha maendeleo kiitwacho Juhudi walipotembelea kikundi hicho na Kamati ya Fedha na Uongozi. Katikati (mwenye miwani myeusi) ni  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Sharifa Nabalang'anya.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.