• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wanawake watakiwa kuacha ukatili wa kimwili kwa watoto

Imewekwa tarehe: June 12th, 2023

Na. Dennis Gondwe, KIKOMBO

WANAWAKE wametakiwa kuacha ukatili wa kimwili kwa watoto badala yake wawalee katika maadili mema na kumjua Mungu.

Kauli hiyo ilitolewa na Diwani wa Viti Maalum Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Edith Luhamo alipoongea na wananchi na wanafunzi wa Kata ya Kikombo jijini Dodoma.

Luhamo alisema “kina mama tumekuwa ni walezi wa familia zetu, kina mama tumekuwa tukikaa na watoto wa waume zetu, tumekuwa tukikaa na watoto wa kaka zetu au watoto wengine ambao wazazi wao wametangalia mbele za haki lakini tunawafanyia ukatili. Watoto wamekuwa wakipigwa fimbo kupitiliza watoto wamekuwa wakichomwa moto. Kina mama tuwe na roho ya huruma ambayo tumeumbiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Tatizo kina mama tumegeuka kuwa wakatili namba moja na hasa ambao siyo watoto wetu. Tuachane na huo ukatili tunazalisha kizazi ambacho hakitatufaa huko mbele. Tutakuwa tunatengeneza bomu na siyo kizazi kizuri” alisema Luhamo.

Alisema kuwa wanawake wamekuwa sehemu kubwa ya ukatili unaodhuru mwili kwa watoto kutokana na vipigo na kuwachoma moto watoto. “Unakuta mtoto ana njaa kaenda kuchukua wali uliolala jana mnamchoma moto. Hii haikubaliki. Sasa hivi kuna wimbi la ushoga na usagaji, ni janga kubwa kwa taifa. Tunategemea tumezaa watoto ili nao watuletee uzao baadae tukiachia vitendo hivi kuendelea tunaharibu kizazi kijacho wenyewe. Kwa wakristo unapoenda kanisani jitahidi kuwahimiza watoto wako kwenda kanisani kule watajifunza neno la Mungu na kuwa watoto wema. Kwa waislam, unapoenda msikitini himiza watoto waende, kule watajifunza neno la Mungu” aliongea kwa uchungu Luhamo.

Aidha, aliwataka wakina mama kujikita katika malezi ya watoto. “Ukiona mtoto ana nyendo tofauti tofauti kina mama tusaidiane malezi. Ukiona mtoto wangu ana nyendo tofauti niambie au palepale muadhibu na unipe taarifa. Kila mtu ana ndoto yake, wanangu wanafunzi wa kike tusikubali kudanganyika na vichipsi na lifti za bodaboda” alisema Luhamo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.