• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wasajili wa mfumo wa usajili wa wafanyabiashara ndogondogo wametakiwa kuwa waadilifu

Imewekwa tarehe: February 10th, 2024

WASAJILI wa mfumo wa usajili wa wafanyabiashara ndogondogo wametakiwa kuwa waadilifu katika utoaji wa vitambulisho kwa kuwapatia wale ambao wanastahili.

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii, Maafisa Biashara 

na Maafisa TEHAMA ngazi ya mikoa kuhusu utambuzi, usajili na utoaji wa vitambulisho vya wafanyabiashara ndogondogo nchini.

Waziri Dkt. Gwajima amewaagiza wataalamu hao kuhakikisha wanakwenda kutoa elimu waliyoipata kwa wataalamu ngazi ya wilaya na kata na kufanya kazi kwa kushirikiana baina yao kwa sababu mfumo

umetengenezwa kila mmoja kushiriki.

“Tunachofanya hapa ni kutekeleza maelekezo ya mhe Rais yenye lengo la kuwasaidia wafanya biashara wadogo hivyo usajili unatakiwa kufanyika haraka ili suala la utoaji mikopo lianze” amesema Dkt. Gwajima.

Ameongeza kwamba mafunzo hayo yanayolenga kuchochea maendeleo ya wafanyabiashara ndogondogo nchini ambayo ni ajenda ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba, wafanya biashara ndogondogo

 watambulikwe na waunganishwe na mifumo ya fursa za kiuchumi.

“Ni imani yangu kuwa sote tutakuwa tayari kutekeleza jukumu hili muhimu mara tu baada ya kupata mafunzo haya ikiwa ni kwenda kusimamia na kutoa mafunzo kwa Maafisa Biashara, Maafisa

Maendeleo ya Jamii na Maafisa TEHAMA katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kwenye mikoa yenu. Hivyo, kufanikiwa kwa zoezi la utambuzi, usajili na utoaji wa vitambulisho kwa 

wafanyabiashara ndogondogo nchini kutategemea juhudi zenu za kujituma katika kutoa mafunzo, kusimamia zoezi hilo kwa karibu pamoja na kushirikiana na Maafisa hao kufuatilia kila hatua ili kufikia lengo 

lililokusudiwa.”

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.