• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Washereheshaji wapewa neno Nanenane

Imewekwa tarehe: August 7th, 2020

WASHEREHESHAJI nchini wametakiwa kuzingatia miiko na maadili ya tasnia hiyo katika kutekeleza majukumu yao ili kuendelea kuaminika katika jamii.

Kauli hiyo ilitolewa na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma, George Rujabuka alipokuwa alielezea umuhimu wa washereheshaji kuzingatia maadili ya tasnia hiyo katika maonesho ya Nanenane, Nzuguni jijini hapa.

Rujabuka alisema kuwa tasnia ya ushereheshaji ni muhimu katika jamii kwa sababu ndiyo inabeba dhana nzima ya sherehe.

“Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dodoma lakini pia ni mshereheshaji ninayefahamu na kufuata maadili na miiko ya kazi ya ushereheshaji. Maadili ya ushereheshaji ni lazima ujue kwamba shughuli yoyote lazima ichukuliwe kwa uzito mkubwa. Mfano, tupo katika maonesho ya Nanenane, mahudhui lazima yaendane na shughuli ya kilimo, mifugo na uvuvi pamoja na mambo mengine” alisema Rujabuka.

Katika utekelezaji wa jukumu hilo, alisema suala la matumizi ya lugha yenye staha kwa makundi yote, muonekano wa mavazi na itifaki ni mambo ya msingi sana katika ushereheshaji, alisisitiza. “Tasnia ya ushereheshaji inaenda sambamba na muziki, tunatumia muziki kuwaburudisha watu. Katika banda letu, nipo na Eric Mchomvu yeye ni ‘DJ’ mbobezi. Tunatumia muziki kuwaburudisha watu na sisi ni wataalam tunajua tucheze muziki gani kulingana na huduma zinazotolewa kwa kufuata itikadi na taratibu za eneo husika. Muziki tunaotumia ni ule unaowavuta watu usio na viashiria vya kukashifu dini, kabila, au mtu” aliongeza Rujabuka.

Akiongelea huduma zinazotolewa na chuo kikuu cha Dodoma, alisema kuwa zinatolewa huduma za afya bure katika eneo la upimaji, ushauri na elimu ya afya. Upimaji unaofanyika ni wa shinikizo la damu, virusi vya ukimwi, uwiano wa uzito na urefu na magonjwa ya ini na figo.

Huduma nyingine aliitaja kuwa ni udahili katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu zinazofanyika katika banda hilo.

Aidha, aliwakaribisha wananchi wa Jiji la Dodoma kutembelea banda hilo na kunufaika kwa kupata huduma za afya bure.

Maonesho ya nanenane Maonesho ya nanenane mwaka 2020 yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Kwa maendeleo ya kilimo, mifugo na uvuvi, chagua kiongozi bora 2020”.

mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma, George Rujabuka alipokuwa alielezea umuhimu wa washereheshaji kuzingatia maadili ya tasnia hiyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.