• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Washiriki Bonanza la Michezo Dodoma wahimizwa kufanya mazoezi

Imewekwa tarehe: March 12th, 2023

NAIBU katibu Mkuu TAMISEMI, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( OR-TAMISEMI) Sospeter Mtwale wamewataka washiriki wa Bonanza la Michezo Jijini Dodoma kuwa na mazoea ya kufanya mazoezi mara kwa mara na sio kusubiri tu wakati wa bonanza.

Mtwale amebainisha hayo katika Bonanza la michezo lilofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari John Merlin Jijini Dodoma ambalo limeandaliwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI.
Ameeleza kuwa mazoezi huimarisha afya ya akili na mwili na kuepusha magonjwa hasa nyemelezi.

"Kama nilivyosema awali michezo ni afya, michezo inatusaidia kupambana na magonjwa hususani magonjwa nyemelezi lakini pia tunaimarisha afya ya akili kwahiyo tuwe na mazoea ya kufanya mzoezi mara kwa mara tusisubiri matukio kama haya " Amesema Mtwale

Sambamba na rai hiyo Mtwale ametoa wito kwa Ofisi ya Rais TAMISEMI kuendeleza tamasha hili la michezo akibainisha kuwa pamoja na ushindani washiriki hupata fursa ya kukutana na watu mbalimbali nje ya maeneo yao ya kiutendaji.

Nae Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dtk. Fatuma Mganga ametoa wito kwa Mikoa na Halmashauri nchini kuandaa matamasha ya michezo akisisitiza kuwa michezo huimarisha utendaji kazi.

Kwa upande wake mratibu wa Michezo kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI George Mbijima amebainisha kuwa pamoja na kushiriki bonanza hili washiriki walipata fursa ya kupima afya zao na kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa huduma za afya.

"Tunatarajia kuongeza michezo mingine kwa bonanza lijalo ili kila mmoja apate fursa ya kushiriki bonanza hilo" Amehitimisha Mbijima.

Washiriki wa Bonanza hilo ni taasisi mbalimbali kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma, Muungano Jogging Club pamoja na Dodoma Sports Club.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.