• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Washiriki Maadhimisho ya Siku ya Makazi, wakaribishwa kununua viwanja Jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: October 5th, 2020

WASHIRIKI wa maadhimisho ya siku ya makazi duniani wametakiwa kutumia fursa ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuwa makao makuu ya nchi na kununua viwanja mapema ili kunufaika na uwekezaji mkubwa unaofanywa na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais, Dkt. John Magufuli.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge alipomuwakilisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi katika maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Taifa ya Takwimu jijini hapa.

Dkt. Mahenge alisema kuwa Jiji la Dodoma ndiyo makao makuu ya nchi. Katika kuboresha makazi ya wananchi, michoro 748 imekwishaandaliwa yenye viwanja zaidi ya 300,000 vya matumizi mbalimbali, alisema. “Nitoe wito kwenu washiriki wa maadhimisho haya ya siku ya makazi duniani na wanachi wote kwa ujumla kuchangamkia fursa ya viwanja katika Jiji la Dodoma. Viwanja vipo vya kutosha ambavyo vimepimwa tayari, fika ofisi ya Jiji hata leo ili uwe sehemu ya mafanikio ya uwekezaji huu mkubwa unaofanywa na Rais, Dkt. John Magufuli” alisema Dkt. Mahenge.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa serikali imeandaa sera ya nyumba iliyobainisha changamoto na namna ya kuwezesha jamii kuwa na nyumba bora. “Sera hii inatoa dira ya uendelezaji wa sekta ya nyumba nchini, juhudi zitaelekezwa zaidi kwenye mbinu mbalimbali za kuwawezesha wananchi wa kipato cha chini kupata nyumba zilizo bora. Aidha, serikali imeweka mazingira wezeshi kwa taasisi zisizo za kiserikali katika uboreshaji wa nyumba za makazi. Baadhi ya taasisi hizo zimekuwa zikishiriki katika uboreshaji wa nyumba za makazi yasiyokuwa rasmi” alisema Dkt. Mahenge.

Kwa upande wake, Afisa Mipango miji wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Aisha Masanja alipokuwa akiwasilisha mada juu ya uboreshaji wa makazi ndani ya Jiji la Dodoma katika maadhimisho hayo alisema kuwa Halmashauri imetekeleza kwa asilimia 80 uboreshaji wa makazi yaliyokuwa holela ndani ya Jiji la Dodoma pamoja na kupanga makazi mapya. “Tunahakikisha kila kipande cha ardhi ndani ya Jiji la Dodoma kinapangwa na kupimwa ili kulinda Jiji kwa sasa na miaka ijayo kwa mipango endelevu ya matumizi ya ardhi, kuhifadhi ardhi na kuboresha makazi kwa kila mkazi wa Dodoma na nchi kwa ujumla” alisema Masanja.

Ikumbukwe kuwa Tanzania inakadiriwa kuwa mahitaji ya nyumba yanaongezeka kila mwaka kwa takribani nyumba 200,000.  



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.