• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wataalam wa Maabara za afya waruhusiwe kuhudhuria makongamano- Dkt. Biteko

Imewekwa tarehe: October 5th, 2024

VIONGOZI wa sekta za afya Nchini wametakiwa kuwaruhusu Wataalamu wa Maabara kushiriki kwenye Makongamano kwa mustakabali wa kuboresha utoaji huduma ya afya kwa Wananchi kwani taaluma hiyo ina thamani kubwa Nchini.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Dotto Biteko wakati akifungua rasmi Kongamano la 37 la Wataalamu wa Maabara ambapo amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

“Kumekua na tabia ya viongozi kutowaruhusu wataalamu hawa kuhudhuria Makongamano, Serikali inatambua na kuthamini mchango wa taaluma yao hivyo, kupitia Kongamano hili, nawataka viongozi wawaruhusu wataalamu hawa kushiriki na kusiwe na uzembe kwenye hili.” Amesema Dkt. Biteko

Naye, Waziri mwenye dhamana ya sekta ya afya Mhe. Jenista Mhagama, amesema Serikali imefanya maboresho kwenye sekta hiyo kwa kuongeza mashine za kiuchunguzi.

“Mhe Rais amefanya uboreshaji wa mashine za kiuchunguzi kama MRI, Ex–ray, Ultra sound na kuhakikisha huduma zinazotolewa na wataalamu hawa zinaendana na uboreshaji huu hivyo kupunguza wagonjwa wanaohitaji kwenda kupata matibabu nje ya nchi” Amesema Mhe. Mhagama

Aidha, akitoa salamu za Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule katika salamu zake amesema kipindi cha Serikali ya awamu ya sita kimeinufaisha Dodoma katika sekta ya afya.

“Dodoma tunavyo vituo vya kutolea huduma za afya 516, vituo vya kutolea huduma za maabara 217. Nitoe pongezi nyingi kwa Mhe. Rais kwa kuwezesha upatikanaji wa vifaa tiba pamoja na dawa kwa kiasi kikubwa kwani ametoa fedha kiasi cha shilingi Bilioni 18.3 kuwezesha upatikanaji wa vifaa tiba na dawa” Mhe. Senyamule.

Akisoma risala ya Chama cha wataalamu wa Maabara za AfyaTanzania (MeLSAT), Rais wa chama hicho Bw. Yahya Mnung’a, ametaja changamoto ya utofauti wa mitaala ya kufundishia baina ya vyuo vya afya kuwa inazalisha wataalamu wa Maabara wasio na ufanisi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.