• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Watanzania watakiwa kulipa kodi kwa maendeleo ya Nchi

Imewekwa tarehe: May 30th, 2024

WATANZANIA wametakiwa kulipa Kodi ikiwa ni takwa la kisheria katika nchi yeyote yenye maendeleo. Hayo yamebainishwa leo Mei 30, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule kwenye kikao cha uzinduzi wa kampeni ya utoaji Elimu kwa umma na kuitambulisha ofisi ya usuluhishi wa Malalamiko na taarifa za Kodi.

Kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma jengo la Mkapa Jijini Dodoma, kimelenga kuitambulisha Taasisi hiyo kwa umma na kutambulisha majukumu yake kwani inafanya kazi na jamii kwa ujumla.

“Uwepo wa ofisi hii unatoa fursa ya usimamizi wa Kodi. Wananchi, tumieni fursa hii kutatua changamoto zenu za Kodi. Hakikisheni munamlipa Kodi na kupata huduma kwani ni wajibu. Kulipa Kodi ni jambo la kihistoria na Kiimani pia kwani hakuna nchi inaweza kuendelea bila Kodi” Mhe. Senyamule.

Alizungumza wakati wa kikao hicho, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri, amemshukuru Rais kwa kusukumwa na kushawishika kuanzisha jambo hili kwani ni utashi wa hali ya juu. Amesema kuwa, Taasisi hii itasaidia ukusanyaji Kodi wa halali na wenye kufuata utaratibu kwani makadirio mengi ya Kodi huzalisha migogoro.

Hata hivyo, Kaimu msuluhishi wa mabadiliko ya Kodi Bw. Godwin Barongo, ameelezea dhumuni la kuanzishwa kwa Ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi kuwa ni kushughulikia Malalamiko na Taarifa za Kodi yanayotokana na usimamizi wa Sheria na taratibu za Kodi unaofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania, Kamishna Mkuu na Watumishi.

Aidha, uanzishwaji wa ofisi hiyo, unategemewa kuongeza ufanisi na kupunguza gharama za ukusanyaji wa Mapato ikiwa ni pamoja na kuhusika kwenye kupokea, kuhakiki, kusajili na kutatua Malalamiko na taarifa za Kodi.

Kampeni ya utoaji Elimu kwa umma na kuitambulisha ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi Tanzania (Tax Ombudsman Service Tanzania - TOST) inatarajiwa kufanyika Tarehe 6 June, 2024 kwenye viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma na itaongozwa na kauli mbiu, “Kataa ukwepaji Kodi, Kataa Kodi za dhulma”.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.