• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Watoto Mazingira hatarishi nchini wakabidhiwa bima za bilioni 4.6

Imewekwa tarehe: February 11th, 2021

SERIKALI imezindua rasmi zoezi la kukabidhi kadi za bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa (iCHF) katika mikoa yote 24 ya Tanzania Bara na Halmashauri 81 ambapo watoto 92, 926 ambao ni sawa na kaya 361, 530 watapatiwa kadi hizo zitakazowasaidia katika kupata matibabu kwenye hospitali mbalimbali.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange amezindua rasmi zoezi la kukabidhi kadi hizo kitaifa katika hafla iliyofanyika katika eneo la Magufuli Square ndani ya Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Jijini Dodoma ambapo amewapongeza wadau wote ikiwemo Serikali na Shirika lilsilo la kiserikali la PACT kupitia mradi wake wa USAID Kizazi Kipya ambalo ndiyo limegharamia bima hiyo kwa kutoa shilingi bilioni 4.6 ili kuwafikia walengwa hao kote nchini.

Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika Alhamisi Februari 11, 2021 Dkt. Dugange alitoa maagizo kwa Wakuu wa Mikoa kote nchini kusimamia zoezi hilo katika mikoa yao ili liwe na ufanisi na walengwa wote wakabidhiwe kadi zao za bima kama ilivyokusudiwa na Serikali na wadau wake.

Kwa upande wao wazazi na walezi wa watoto 20 waliokabidhiwa kazi zao kwa niaba ya watoto wenzao wameishukuru Serikali na Shirika la PACT kwa kuwapatia bima ya afya huku wakitoa wito kwa wananchi wengi zaidi kujiunga na bima hiyo kwani imekuwa kama mkombozi wa wananchi wa hasa wenye uchumi wa chini pale wanapokuwa katika changamoto ya maradhi.

Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya madiwani wa nchi nzima, Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambaye pia ni Diwani wa Kata Chahwa  Mhe. Sospeter Mazengo (kushoto pichani juu) aliishukuru Serikali na Shirika la PACT kwa mradi huo alioutaja kama neema kubwa hasa kwa walengwa hao ambao kimsingi wana changamoto kubwa ya kumudu gharama za matibabu.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.