• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waumini wa Kanisa la Anglikan watakiwa kujiandikisha kwenye daftari la Mpiga kura

Imewekwa tarehe: July 25th, 2024

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba ametoa wito kwa waumini wa Kanisa la Anglican nchini kuunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ili kupata fursa ya kuchagua viongozi bora watakaoliletea taifa maendeleo.

Mhe. Katimba ametoa wito huo wakati akimuwakilisha Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko kwenye ibada ya harambee maalumu ya ujenzi wa Kanisa Kuu la Andrea Mtakatifu la Uaskofu lililopo Kasulu Dayosisi ya Western Tanganyika.

“Sote tunafahamu Mhe. Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amezindua zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura hapa mkoani Kigoma, hivyo niwakumbushe kujiandikisha na kuboresha taarifa zenu ili kumuunga mkono Mhe. Rais kwa kuchagua viongozi watakaoshirikiana nae kuleta maendeleo nchini,” Mhe. Katimba amesisitiza.

Mhe. Katimba amesema zoezi la kuboresha daftari la kudumu la mpiga kura mkoani Kigoma litakuwa la siku saba hivyo wananchi wajitokeze mapema kujiandikisha na kuboresha taarifa zao ili kupata sifa ya kushiriki uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025.

Sanjari na hilo, Mhe. Katimba amewasilisha mchango wa shilingi milioni 20 uliotolewa na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko kuchangia ujenzi wa wa Kanisa Kuu la Andrea Mtakatifu la Uaskofu lililopo Kasulu Dayosisi ya Western Tanganyika.

Akizungumzia ushiriki wa waumini katika maboresho ya Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, Baba Askofu Emanuel Charles Bwata amemhakikishia Mhe. Katimba kuwa, kanisa linawaamasisha waumini kujiandikisha na kuongeza kuwa binafsi yeye alishaanza kuwahamasisha kabla ya Mhe. Waziri Mkuu kuzindua rasmi zoezi hilo mkoani Kigoma.

Aidha, Baba Askofu Emanuel Charles Bwata amemshukuru Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko kwa kutoa mchango wa shilingi milioni 20 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa Kuu la Andrea Mtakatifu la Uaskofu la Kasulu. 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.