• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wauza mboga na matunda waaswa kuzingatia taratibu

Imewekwa tarehe: November 26th, 2020

MWENYEKITI wa Wanawake wajasiriamali soko la sabasaba Anna James, amewaomba wafanyabiashara wa mbogamboga na matunda kutii sheria na maelekezo yanayotolewa na Halmashauri ya jiji la Dodoma ambayo yanawataka kujiepusha na kufanya biashara eneo lisilo salama kwao na bidhaa kwenye stendi ya daladala Sabasaba. 

Wito huo umetolewa kufuatia na wajasiriamali hao kufanya biashara kwenye eneo ambalo linatumiwa na madereva wa daladala kupaki magari, ambapo sasa wafanyabishara hao wamekuwa wakipanga biashara zao bila kujali usalama wao,wateja na bidhaa zinazouzwa.. 

Mwenyekiti huyo alisema hayo alipokuwa akizungumza na wajasiriamali mbele ya Afisa Masoko wa Jiji la Dodoma James Yuna, baada ya kuwatembelea kwa ajili ya kuwaelimisha wafanyabiashara hao ambao wanaofanya shughuli zao za uuzaji wa mboga na matunda kwenye eneo hilo la stendi ya daladala.

Alisema kuwa kwa wafanyabiashara hao hakuna kikwanzo cha kukaidi maelekezo, sheria na. kanuni zilizowekwa na Jiji bali kinachotakiwa ni kuiunga mkono juhudi hizo zinazofanywa kwa ajili ya mpangilio ulio mzuri,hivyo tunatakiwa kukitii kwa vitendo kwa kuondoka na kupisha ili eneo hilo liweze linatumiwa na madareva hao wa daladala kwa uhuru. 

Alisema kuwa serikali kupitia Rais John Magufuli ametuwekea malengo wafanyabiashara wote ndogo ndogo ya kuboresha biashara zetu, ambapo hivi sasa vitambulisho tutakavyopewa vitatuwezesha kupatiwa mikopo ili tujiinue zaidi kiuchumi.

"Akina mama ninawaomba tuiunge mkono Halmashauri yetu ya Jiji la Dodoma kwa hili ambalo lipo kwa ajili ya usalama wetu,tuwe tayari muda wote kutoa ushirikiano kwa vitendo na maelekezo yatakayotolewa ikiwemo hili la kupisha eneo hili la stendi ya sabasaba ili daladala ziwe zinafanya kazi yake kwa uhuru na uwazi kwenye eneo hili"alisema.

Kwa upande wake Afisa masoko wa Jiji la Dodoma James Yuna alisema kuwa rai yake kwa wafanyabiashara wa stendi ya sabasaba wanafanya shughuli zao kwa mpangilio, ili kuepukana mwingiliano kati yao na  waendesha daladala ambao wamekuwa wakipaki  magari yao.

Alisema kuwa mpangilio huo utawasababishia kufanya biashara zao kwa uhuru tofauti na ilivyo kwa vihi sasa ambapo kuna mwingiliano mkubwa unaoweza kusababisha kutokea ajali kwa upande wao na hata kwa wateja ikiwemo na kuharibiwa bidhaa zao wanazoziuza.

Hata hivyo pamoja na zoezi la kuwataka wapishe eneo hilo pia kwa upande wa matolori wachoma mishikaki,mahindi mabicha na wapika chips,ambao wanaofanya biashara hizo katikati ya magari yanayotumia nishati ya mafuta ni hatari kwa upande wao pia.

“Ni rai yangu wafanyabiashara wote kuendelee kutii maelekezo kwa kuwa ni njema inayowataka wanaofanya shughuli zaokuzingatia vigezo vilivyoelekezwa katika kila eneo hivyo tunaomba ushirikiano kutoka kwao’alisema.

Afisa huyo hata hivyo amewataka wafanyabishara kufanya biashara kwa malengo ambayo yatakayowafanya kujiinua kiuchumi na hatimaye kufikia malengo yao.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.