• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wazazi na Jamii watieni moyo watoto wa kike wasome masomo ya Sayansi

Imewekwa tarehe: February 13th, 2023


WITO umetolewa kwa wazazi, jamii, wadau wa sekta za umma na binafsi kuwatia moyo wasichana/wanafunzi wa kike kuwahimiza kupenda masomo ya sayansi katika kuimarisha mchango wa utafiti na ubunifu wa kisayansi wenye tija kwa ustawi wa uchumi kwa maisha ya kizazi cha leo na kesho.

Kwani hatua hiyo itawezesha kukua kwa viwanda na sekta nyingine za kipaumbele ifikapo mwaka 2025

Akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya kimataifa ya siku ya kimataifa ya wanawake na wasichana katika Sayansi,Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga alisema kuwa ubunifu unaofanywa na wanawake na wasichana unahitajika na unachangia kikamilifu katika ukuaji wa uchumi kwa taifa.

"Uwekezaji unaofanywa na serikali ya awamu ya sita katika miundombinu na rasilimali watu unasaidia kufanyika kwa utafiti wa kisayansi unaolenga kuzalisha ubunifu na teknolojia zinazojibu changamoto za watanzania," alisema Kipanga

Kipanga alisema maadhimisho hayo yanatumika kama sehemu ya kuwahamasisha wasichana na wanawake kuhamasika kusoma masomo ya sayansi, hisabati, uhandisi na ubunifu ili kuongeza namba za wanawake na wasichana katika soko la ajira kwa upande wa Sayansi.

"Siku hii itumike kuwahamasisha wanawake na wasichana kujikita zaidi kusoma masomo ya sayansi, uhandisi, hesabu, ubunifu na teknolojia," alisisitiza Kipanga

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya afya na masuala ya UKIMWI Stanslaus Nyongo amesema pamoja na jitihada kubwa za kuwasaidia watoto wa kike kusoma masomo ya sayansi, bado kuna changamoto ya walimu wa masomo ya sayansi ni wachache.

"Jitihada ni kubwa sana zinazofanywa na Serikali ila bado kuna changamoto kwa upande wa walimu wanaofundisha masomo ya sayansi hivyo ni vyema tukaongeza jitihada katika kuwatengeneza walimu watakaokuja kuwa msaada katika kuwafundisha watoto hawa katika masomo haya ya Sayasi, hesabu, uandisi, na ubunifu," alisema Nyongo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu Prof. Maulilio Kipanyula alisema kuwa, nchi za Afrika ushiriki wa wanawake na wasichana katika masomo ya Sayansi, teknolojia, ubunifu na Hisabati ni asilimia 24 tu. Hivyo, maadhimisho hayo ni sehemu ya kuwahamasisha wanawake na wasichana kushiriki kikamilifu katika masomo ya Sayansi, teknolojia na ubunifu.

"Maadhimisho haya yanatumika kuhamasisha wanawake na wasichana kushiriki kikamilifu katika masomo ya sayasi, teknolojia, ubunifu na hisabati naamini tukifanya hivi hata huko kwenye soko la ajira wataongezeka," alisema Kipa

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.