• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wazazi waacheni Watoto washiriki michezo - Upendo

Imewekwa tarehe: May 23rd, 2021

WITO umetolewa kwa wazazi kuwapa nafasi Watoto washiriki kwenye michezo, kwa kuwa michezo ina faida kubwa kwenye makuzi na maendeleo yao kielimu.

Hayo yamesemwa na Afisa Elimu ya Sekondari wa Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu katika siku ya mwisho ya mashindano ya UMISETA ngazi ya Wilaya yaliyofikia kilele chake katika uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma.

“Michezo na taaluma ni vitu viwili vinavyo enda pamoja unapo mruhusu mtoto kucheza anakuwa safi kiakili na kuchangamka kiasi kwamba anakuwa tayari kupokea ambacho anafundishwa na mwalimu wake, wazazi waacheni Watoto washiriki kwenye michezo”, alisema Rweyemamu.

Akifafanua zaidi Mwalimu Upendo Rweyemamu alisema mashindano hayo ya kutengeneza timu ya wilaya yameenda salama na tayari timu imekamilika ambapo mpaka kufikia tarehe 3 Juni wachezaji wa timu hiyo watatakiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi kwa mashindano yajayo.

Mapema mgeni rasmi Mhe. Sospeter Mazengo ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za jamii, uchumi, elimu na afya wa Jiji la Dodoma ambaye alimwakilisha Mstahiki Meya aliwaeleza wanamichezo hao kuwa wale watakao chaguliwa kwenda mkoani kwa ajili ya kushindana na wilaya nyingine watambue wanajukumu la kuheshimisha Jiji kwa kufanya vizuri na kusisitiza kuwa wana nafasi ya kuyabadilisha maisha yao pia kwa kujituma, kuonesha vipaji na uwezo walionao.

Mazengo alisema kuwa michezo ni muhimu katika kulinda afya na ni njia ya kuingiza kipato ambapo ni vyema kufungua macho na kuweka nia katika kufikia malengo.

“Ukifanya tathimi timu ambazo zina shiriki ligi kuu idadi yake, wachezaji, waalimu na wadau mbalimbali wanao saidia timu kwa ujumla utabaini sekta ya michezo imeajiri watu wengi, hivyo kuna mlango, nawaambia ninyi ni vijana nafasi mnazo”, alisema Mazengo.

Kwa upande wake Mwalimu Shule ya Sekondari Viwandani Malick Masoud alisema kuwa watoto wana nidhamu ya kutosha na kata 41 zimeshiriki zikijumuisha shule 58 ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika mashindano ya UMISETA mwaka huu.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.