• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wazazi wahimizwa kuandikisha watoto mapema muhula mpya wa masomo 2025

Imewekwa tarehe: January 15th, 2025

Na. Hellen M. Minja,

Habari – DODOMA RS

Kufuatia maelekezo aliyoyatoa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule juu ya wazazi kupeleka watoto shuleni pindi muhula mpya utakapoanza, leo Januari 15, 2025, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar K. Mmuya, amefanya ziara ya kikazi kutembelea shule ya msingi Kisasa kujionea utekelezaji wa maelekezo hayo.

Akiwa shuleni hapo, Katibu Tawala huyo alizungumza na walimu pamoja na wanafunzi juu ya umuhimu wa wazazi kuwaandikisha watoto wao mapema ili kutopunguza siku zao za masomo zilizopo kwenye kalenda ya mwaka.

“Elimu inatolewa kisayansi tukifahamu mwanafunzi katika mwaka mmoja anatakiwa kuhudhuria shuleni kwa idadi ya siku, na mtoto akihudhuria siku zote anaweza kupata kiwango kilichokadiriwa na walimu. Mzazi ukichelewa kumleta mtoto shule, jinsi unavyochelewa ndivyo idadi ya siku za mtoto kuhudhuria shuleni unavyozipunguza” Bw. Mmuya

Akitoa taarifa ya shule hiyo, Mwalimu Mkuu Bi. Jesca Mwarabu amesema shule yake ilianzishwa mwaka 2007, kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 2,479 na walimu 57. Shule inatekeleza mtaala ulioandaliwa na Wizara ya Elimu na kwa miaka mitano mfululizo imekua na ufaulu mzuri kwa 90% na zaidi katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi huku uandikishaji wa darasa la awali na la kwanza 2025 ukivuka lengo kwa zaidi ya 100%.

Kwa upande mwingine, Kiongozi huyo amefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa shule mpya ya msingi Sokoine (Mahungu) yenye mkondo mmoja, iliyopo katika Kata ya Nala Jijini Dodoma inayojengwa kwa fedha shilingi 321,800,000 kutoka programu ya BOOST kwa mwaka 2024/2025 ,na mradi upo kwenye hatua za umaliziaji.

Aidha, ziara hiyo ilitamatika kwa kutembelea Hospitali ya Wilaya ya Dodoma Mjini iliyojengwa katika Kata ya Nala ambapo mradi umetekelezwa kutokana na changamoto ya muda mrefu kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kukosa Hospitali ya ngazi hiyo. Mradi  umegharimu shilingi 1,500,000,000 fedha kutoka Serikali kuu na 480,000,000 kutoka Halmashauri ya Jiji na mpaka sasa mradi umekamilika kwa 98%

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.