• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Bashungwa ataka mwongozo huu kwa wakulima utekelezwe

Imewekwa tarehe: September 9th, 2022


WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ameziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha wanatekeleza mwongozo wa serikali wa kutotoza ushuru kwa wakulima wanaosafirisha mazao yao chini ya tani moja.

Bashungwa ameyasema hayo jana tarehe 8 Septemba 2022 jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa mwongozo wa kutotoza ushuru kwa wakulima wanaosafirisha mazao chini ya tani moja.

Amesema katika kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wakulima, serikali ilitoa maelekezo ya kuhakikisha wakulima hawatozwi tozo wanaposafirisha mazao yao kutoka shambani kwenda kwenye magulio.

"Mpaka sasa bado maagizo ya Serikali ya kutotoza ushuru wakulima wanaposafirisha mazoa yao chini ya tani moja hayajabadilika. Bado maelekezo ya Serikali ni kuhakikisha wakulima wanapovuna na kupeleka mavuno ya mazao kwenye magulio na masoko kama ni chini ya tani moja wasitozwe ushuru wowote,"amesema.

Aidha, Bashungwa amemuagiza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe kuhakikisha mwongozo huo unazingatiwa na wakurugenzi wote nchini.

Bashungwa pia amewaelekeza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kusimamia mwongozo huo katika maeneo yao.

"Nitumie nafasi hii kuwaelekeza wakuu wa  Mikoa na Wakuu wa Wilaya katika maeneo yao kusimamia jambo hili ili lisifanyike kiholela kwa maeneo mengine wanatoza na maeneo mengine hawatozwi, kwa hiyo kunakuwa na mkanganyiko upande wa wakulima lipi ni lipi,"amesema Bashungwa

Katika kutekeleza agizo hilo la Serikali, Ofisi ya Rais-TAMISEMI ilitoa mwongozo kwenye halmashauri zote namna ya kulitekeleza, hivyo niwakumbushe wakurugenzi kuendelea kuzingatia mwongozo huo na Wakuu wa Mikoa na Wilaya simamieni jambo hili lengo ni kumsaidia mkulima aweze kukua na kupambana na umasikini kupitia jasho lake la kilimo.

Aidha, Serikali iliona ni vyema kuhakikisha ushuru kwa mkulima wa mazao chini ya tani moja  hautozwi  na tunaendelea kuyasimamia kupitia wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuhakikisha kwamba mwongozo huu unazingatiwa.


Chanzo: OR- Tamisemi

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.