• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Dkt. Gwajima amekabidhi mitungi ya gesi 1000

Imewekwa tarehe: December 16th, 2023

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amekabidhi mitungi ya gesi kwa wanawake 1000 iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Dkt. Gwajima amekabidhi mitungi hiyo yenye thamani ya sh. milioni 72 wakati akifungua Kongamano la Wanawake viongozi wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani Disemba 15, 2023

Amesema nia ya kutoa mitungi hiyo ni kuwawezesha wanawake kutumia nishati safi ili kujinasua na changamoto za kiuchumi zinazochangiwa pia na kutafuta nishati kwa gharama kubwa na muda mwingi kwani Rais Samia amedhamiria kuwakomboa wanawake kwa vitendo.

Aidha, Waziri Dkt. Gwajima amefafanua kuwa nia ya Serikali kuwawezesha wanawake ni kuwafanya waimarike kiuchumi ili kusaidiana na wanaume kuanzia ngazi ya familia huku akiwakumbusha kila jinsi kutimiza majukumu yao katika nafasi zao.

Amebainisha kuwa, kutokana na Mkutano wa Wanaume wa kutokomeza Ukatili uliofanyika Afrika ya Kusini hivi karibuni, Tanzania inaanzisha makongamano ya wanaume na yatazinduliwa katika wilaya ya Mkuranga mwakani 2024.

Dkt Gwajima, amempongeza Mbunge wa Mkuranga Abdalah Ulega, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, kwa jinsi anavyoshirikiana na uongozi wa Wilaya hiyo na kufanya mabadiliko makubwa kwenye kuchochea wananchi kujiletea maendeleo. Ameongeza Pongezi pia kwa Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Hadija Nasri kwa umoja na mshikamano wa viongozi katika Wilaya yake hali iliyowezesha uratibu mzuri wa Majukwaa ya Uwezeshaji wanawake kiuchumi.

Dkt. Gwajima amesema utaratibu wa kukutana kila mwaka kujadili mada mbalimbali za kijamii ni matokeo ya uongozi wa kimkakati ambapo wilaya hiyo ni mfano wa kuigwa katika katika uundaji wa Majukwaa hayo nchini.

Vilevile Waziri Dkt. Gwajima amewakumbusha wanawake kujiunga na Vikundi vya Ujasiriamali vilivyosajiliwa ili kuingia kwenye Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi.

Kwa upande wake Mhe. Abdallah Ulega amesema kitendo cha Rais Samia kutoa mitungi hiyo ya Gesi wilayani humo ni ishara ya Rais kuwa kinara wa kuwakomboa wanawake

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.