• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Jafo akabidhi pikipiki 23 kwa Watendaji wa Kata Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: August 7th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amekabidhi pikipiki 23 kwa Watendaji wa Kata, maafisa mipango miji na afisa mifugo wa jiji la Dodoma mara baada ya kuhudhuria kikao cha Baraza la Kufunga mwaka cha Jiji la Dodoma.

Pikipiki hizo 23 zimegharibu jumla ya shilingi 54,900,000 ambazo zimetoka kwenye mapato ya ndani ya Halmashari ya Jiji.

Aidha Waziri Jafo amelipongeza Jiji la Dodoma kwa utendaji kazi bora ambao umesababisha mabadiliko makubwa katika utoaji huduma kwa wananchi wa Dodoma. "Haya ni matunda ya ushirikiano mzuri wa utendaji kazi kati ya madiwani na watendaji wa Jiji la Dodoma, hongereni sana Dodoma" alisema Jafo.

Akimkaribisha Waziri Jafo kwa ajili ya kukabidhi pikipiki hizo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi alisema, Jiji la Dodoma limedhamilia kuhakikisha linatoa huduma bora na kwa wakati kwa wananchi wake. Lakini pia pikipiki hizo zitasaidia kupunguza changamoto ya usafiri kwa watendaji wake.

Mkurugenzi Kunambi alifafanua kuwa "...pikipiki hizi unawakabidhi Maafisa Watendaji wa Kata 20 zilizo pembezoni mwa jiji letu ili kuwawezesha maafisa hao kuwafikia wananchi kwa wakati na kupunguza kero ya usafiri kwenye maeneo ya mbali. Pikipiki 2 ni kwa ajili ya Maafisa wa Mipango Miji kitengo cha Uthibiti wa Ujenzi holela na moja utaikabidhi kwa Afisa Mifugo anayehusika na udhibiti wa wanyama wanaozurura hovyo mjini", alisema.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo (Mb) akikabidhi funguo za pikipiki kwa Diwani wa Kata ya Zuzu Mhe. Awadh Abdallah kwa niaba ya Mtendaji wa Kata ya Zuzu wakati wa hafla ya kukabidhi pikipik kwa Watendaji wa Kata 20 za pembezoni mwa Jiji, Maafisa Ardhi kitengo cha Udhibiti wa Ujenzi holela (2) na Afisa Mifugo (1) kwa ajili ya udhibiti wa wanyama wanaozurura hovyo mjini.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.