• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Jafo ataka usalama zaidi Dampo la Chidaya

Imewekwa tarehe: April 23rd, 2021

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Seleman Jafo ameiagiza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kujenga uzio wa ukuta kuzunguka moja ya bwawa la maji machafu lililopo katika dampo la kisasa la Chidaya jijini hapa ili kuepusha uwezekano wa watu kutoka nje ya eneo la bwawa hilo kuingia au uchafu kutoka nje na kuleta madhara kwa Wananchi wanaozunguka eneo hilo.

Waziri Jafo ameyasema hayo leo alipotembelea dampo hilo na kujionea kazi za udhibiti wa taka zinazozalishwa Jijini hapa ambazo zinafanyika katika eneo hilo.

Waziri huyo ameongeza kuwa dampo hilo linatakiwa kuwa msaada kwa wakazi wa Dodoma na sio kero, hivyo mamlaka husika zinatakiwa kuwa macho usiku na mchana kuhakikisha hakuna madhara yeyote yanayowapata wananchi pembezoni mwa dampo hilo.

"Mwananchi yeyote akidhurika sisi wote hapa tutaulizwa kuwa nyinyi kama viongozi mlipewa dhamana ya kuwalinda wanachi lakini kinyume chake mmeacha wanateseka, kwa hiyo nawaomba muwajibike na ninatoa mwezi mmoja na nusu ukuta huo ukamilike" alisema Waziri Jafo.

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Mazingira na udhibiti wa taka ngumu wa Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro alisema kuwa ameyapokea maelekezo hayo na ameahidi kuyafanyia kazi.

Aidha, Kimaro amemhakikishia Waziri wa Mazingira kuwa hakuna mwananchi yeyote atakaedhurika au kukumbwa na madhara katika eneo hilo kwani wamejipanga kutunza mazingira na watu wanaozunguka dampo hilo kwa ujumla.


WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Seleman Jafo (wa kwanza kushoto) akisikiliza maelezo kuhusu Dampo la Kisasa la Chidaya kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu wa Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro leo 23 Aprili, 2021 wakati Waziri alipofanya ziara kutembelea dampo hilo.

Waziri Seleman Jafo (mwenye suti) akiongozwa na Mkuu wa Idara ya Mazingira wa Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro (kulia) na Meneja wa Dampo la Chidaya, John Kiwanga (kushoto) wakati Waziri alipofanya ziara kutembelea dampo hilo la Jiji la Dodoma.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.