• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Jafo 'awafagilia' watendaji Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: August 5th, 2019

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jafo aipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa utendaji kazi wa viwango katika ukusanyaji mapato na utoaji huduma kwa wananchi kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Pongezi hizo amezitoa alipokuwa akitoa salamu zake katika mkutano wa mwaka wa Baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

“Niwashukuru sana ninyi viongozi, Madiwani wa Baraza la Madiwani la Jiji la Dodoma, ninyi mmekuwa watu wa mfano, kwa kuthubutu kusimamia Halmashauri yenu, Halmashauri yenu leo hii ime‘graduate’. Leo hii mmehama kutoka kwenye unyafuzi wenu wa mapato, choka mbaya sasa mmefikia shilingi bilioni 71 haijawahi kutokea nchini. Ni ‘outstanding performance’” alisema Waziri Jafo.

Halmashauri maana yake ni kushauriana. “Naomba niwaambie kitu, hapa mmekusanya shilingi bilioni 71 ni sawasawa na Halmashauri nyingine takribani 30. Mnaweza kuzichagua Halmashauri mbili mkawatekelezea miradi yao ya maendeleo yote na mkawalipa mishahara yao na ‘per diem’ zote. Kama leo Halmashauri yenye ‘total’ bajeti ya shilingi bilioni 30, ninyi mnakusanya shilingi bilioni 71, hamjahudumia Halmashauri mbili?” alihoji Waziri Jafo.

Waziri Jafo aliwapongeza watendaji wa Halmashauri hiyo kwa kusimamia ukusanyaji wa mapato, na kusema hajawahi kuona watendaji wazuri kama hao. “Katika Halmashauri ambayo ninajivunia sana, Dodoma ni Halmashauri ya kwanza ambayo ninajivunia sana. Endeleeni na kasi hiyohiyo ya kukusanya mapato” alisema Waziri Jafo.

Aidha, aliwataka Madiwani kuwatia moyo watendaji wa halmashauri hiyo. “Waheshimiwa madiwani endeleeni kuwatia moyo watendaji hawa. Hawa ni binadamu kama binadamu wengine. Ninafahamu yawezekana wengine wanamapungufu, tuwanyooshee vidole wale wenye mapungufu. Lakini wale wazuri tuwape moyo. Tutengeneze timu moja ya kushinda hapa Dodoma” alisema Waziri Jafo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.