• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Kairuki abainisha vipaumbele vitakavyowekewa mkazo TAMISEMI

Imewekwa tarehe: November 4th, 2022

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amebainisha vipaumbele na maeneo ambavyo Wizara itawekekea Mkazo katika kipindi ambacho atakuwa akihudhumu katika Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Amebainisha hayo wakati alipopewa nafasi na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson kutoa salamu kwa Wabunge wakati wa Mkutano wa tisa, kikao cha tatu cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waziri Kairuki amesema atashirikiana na viongozi wa Wizara hiyo kuweka mifumo endelevu ya kitaasisi ambayo itaendelea kudumu hata katika vipindi ambapo Viongozi watakapobadilishwa na kuletwa wengine.

Amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI itaweka mkazo wa Kudhibiti matumizi mbalimbali fedha za miradi ya maendeleo na matumizi mengineyo katika halmashauri ili kuhakikisha taratibu za kifedha zinazingatiwa.

Aidha, Waziri Kairuki amesema atasimamia Mamlaka za Serikali za mitaa kwa kuziba mianya ya upotevu wa fedha za umma kwa kujiridhisha kuwa matumizi yanayofanyika ni yale yanayohitajika.

Katika Ukusanyaji na Ukadiliaji mapato, Waziri Kairuki amesema kuna baadhi ya halmashauri hukadiria viwango vya chini ili kwenye makusanyo waonekane wamevuka lengo, hivyo katika mwaka wa fedha ujao watapitia kila halmashauri kujiridhisha vyanzo vya mapato na makadirio yao.

Amesema atahakikisha katika Mamlaka za Serikali za mitaa wanaboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kukuza mapato katika halmshauri.

Vile Vile, Waziri Kairuki amesema TAMISEMI itaweka makazo katika usimamizi wa utoaji wa huduma mbalimbali kama afyamsingi, elimu na uboreshaji wa miundombinu barabara kupitia TARURA ili kuboresha maisha ya Watanzania.

Pamoja na mambo Mengine, Wizara itawajengea uwezo wa watumishi ili watekeleze vyema majukumu yao katika mamlaka za Serikali za mitaa ikiwa ni pamoja na kuendeleza kazi ambazo watangulizi walifanya katika Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.