• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Kairuki asisitiza walimu kuthaminiwa, kulindiwa utu wao

Imewekwa tarehe: March 16th, 2023

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mheshimiwa Angellah Kairuki ameisisitiza kila mwalimu nchini aendelee kuthaminiwa na kulindiwa utu wake.

Kairuki ametoa wito huowakati wakifungua Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) katika Ukumbi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma.

"Jambo la Muhimu kwenu ni kuhakikisha mwalimu anathaminiwa na kulinda utu wake. Ni wajibu wenu kuhakikisha kuwa masilahi ya mwalimu na hadhi yake inalindwa kwa nguvu zote.

"Ni wajibu wetu pia kutambua kuwa mnao mchango mkubwa wa kuwafanya walimu wetu waweze kuleta mabadiliko ya elimu bora nchini kwa kuwahamasisha kutimiza wajibu wao na kulinda masilahi yao pamoja na kuwaondolea kero na malalamiko yaliyo ndani ya uwezo wenu,"amefafanua Waziri Kairuki.

Pia amewataka kushirikiana vema na maafisa elimu wa halmashauri na wathibiti ubora wa elimu katika kumhudumia na kumhamasisha mwalimu kutimiza wajibu wake wa kuimarisha elimu nchini.

"Watumishi wa tume mjitahidi kadri inavyowezekana kuwahudumia walimu shuleni badala ya kusubiri wawafuate ofisini kwenu," ameagiza Kairuki.

Wakati huo huo, Mheshimiwa Kairuki amesema,amezisikia changamoto zinazoikabili Tume ya Utumishi wa Walimu ambazo zimeelezwa na Mwenyekiti wa Baraza, hususani ukosefu wa jengo la ofisi ya makao makuu.

"Nimeona jitihada mlizozifanya na hatua za ujenzi zilishaanza. Pia, nimepata taarifa kuwa mradi wa jengo la tume umeingizwa katika utaratibu wa miradi inayosimamiwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Pia, Naibu Waziri Deogratius Ndejembi amenitaarifu alipotembelea eneo la ujenzi kwamba ujenzi unaendelea chini ya Kandarasi ya SUMA JKT ambapo kasi ya ujenzi imefikia asilimia tano badala ya asilimia 16 kama inavyoonesha kwa mujibu wa Mpangokazi na ameniambia kuwa ujenzi unatarajiwa kukamilika tarehe 5 Juni, 2024.

"Naielekeza Kandarasi ya SUMA JKT ihakikishe kuwa ujenzi wa Jengo la Tume ya Utumishi wa Walimu unakamilika kwa wakati kwa kuwa jengo wanalotumia kwa sasa haliendani na majukumu wanayoyafanya katika

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.