• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Mhagama akemea wanaowatumia watu wenye ulemavu kujinufaisha

Imewekwa tarehe: February 16th, 2021
  • Ampongeza Mbunge Mhe. Anthony Mavunde kwa kuwajali watu wenye ulemavu

WAZIRI wa Nchi OWM - Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenister Mhagama ameitaka jamii kuacha kuwatumia watu wenye ulemavu kama chanzo cha mapato na badala yake jamii iwasaidie ili nao waweze kufikia malengo yao kimaisha.

Waziri Mhagama ameyasema hayo jana wakati wa zoezi la kugawa miguu bandia kwa wananchi 50 wa Jijini Dodoma katika hafla fupi iliyofanyika katika Hotel ya Dodoma kufuatia ufadhili wa Taasisi ya Kamal Group.

Akizungumza katika Hafla hiyo, Waziri Mhagama ameipongeza Taasisi ya Kamal Group kwa kufadhili miguu hiyo na kuwaomba kuwafikia watu wengi zaidi wenye uhitaji katika maeneo mengi ya Tanzania kama walivyofanya Dodoma Mjini na ametumia fursa hiyo pia kumpongeza Mbunge Mhe. Anthony Mavunde kwa kuwa bega kwa bega na watu wenye ulemavu katika kuwasaidia kutatua changamoto zao.

“Serikali itahakikisha inachukua hatua kali kwa wale wote ambao watawatumia watu wenye ulemavu kama chanzo cha mapato, tutaendelea na msako ili kuwabaini wahusika na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria”. Alisema Waziri Mhagama

Akitoa salamu zake, Naibu Waziri anayeshughulikia watu wenye ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga ametoa rai kwa Taasisi na watu binafsi kuiga mfano wa Kamal Group kwa kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu.

Naye Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde ameishukuru Taasisi ya Kamal Group kwa ufadhili huo wa miguu na kuwataka wanufaika wote watumie viungo hivyo kama kichocheo cha kujiletea maendeleo yao na kuahidi kuwasimamia katika kupata mikopo itolewayo na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutoka kwenye mapato ya asilimia 2 vya mapato yake ya ndani.

Akitoa salamu kwa niaba ya Kamal Group, Bi. Hedwick Peter ameihakikishia serikali juu ya dhamira ya taasisi hiyo kuendelea kuigusa jamii yenye mahitaji kwa kutoa miguu na vifaa saidizi ikiwa ni sehemu ya utaratibu ambao taasisi hiyo imejiwekea kutekeleza sera ya kurudisha kwa Jamii (CSR) ambapo mpaka hivi sasa zaidi ya miguu 350 imetolewa kwa wahitaji mbalimbali.

Tazama picha mbalimbali wakati wa tukio hilo:








Chanzo: @anthonymavunde (instagram)

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.