• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Mhagama alitaka Baraza la Uuguzi na Ukunga kusimamia Sheria na Miiko

Imewekwa tarehe: January 16th, 2025

Na WAF - Dodoma
WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza jipya la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) kuwachukulia hatua kali wauguzi na wakunga watakaokiuka misingi ya sheria na miiko ya taaluma zao.

Waziri Mhagama ameyasema hayo wakati akizindua Baraza jipya la 63 la Uuguzi na Ukunga Tanzania, jijini Dodoma, wenye kauli mbiu  isemayo “Wauguzi na Ukunga ni Watu Maalum kwa Kazi Maalum”.

"Baraza lenu lina kazi nyingi, miongoni mwa kazi zenu mnatakiwa kuhakikisha watumishi mnaowasimamia wanafanya kazi kwa weledi mkubwa ili kuwa na huduma zenye tija na ufanisi," amesema Waziri Mhagama.

Aidha, Waziri Mhagama amelitaka Baraza hilo kuanzisha kanzi data inayoweza kufatilia wauguzi na wakunga wote nchini ili kurahisisha ufuatiliaji wa mienendo yao na  upatikanaji wa huduma kwa wananchi.

“Niwaelekeze Baraza, kuwa na mifumo mizuri inayohifadhi data za wauguzi na wakunga kuanzia walipo kwa sasa na mienendo yao, pia kuwatambua wauguzi na wakunga ambao hawana ajira ili kutengeneza mazingira mazuri ya kujiajiri kwa wataalam hao," amesema Waziri Mhagama.

Awali akimkaribisha Waziri wa Afya Mkurugenzi wa Idara ya Uuguzi na Ukunga kutoka Wizara ya Afya Bi. Ziada Sella amelitaka Baraza hilo kusimamia mawasiliano pamoja na lugha za staha kwa wananchi wanaowapatia huduma pamoja na  kusimamia usajili wa wauguzi na wakunga sambamba na kutoa mafunzo mahala pa kazi kwa wataalam hao.

“Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Baraza linaendela kusimamia mawasiliano na lugha nzuri kwa wataalam dhidi ya wananchi, eneo hili ni muhimu sana kwa sababu ndio matibabu yanaanzia hapo,” amesema Bi. Ziada

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania Prof. Lilian Msele ameishukuru Wizara ya Afya  kwa kuteau  wajumbe wa Baraza hilo na kuahidi kutekeleza kwa vitendo maelekezo yote aliyoyatoa Waziri Mhe. Mhagama.

“Nyuma ya mafanikio haya yote kuna mikono ya viongozi wetu kama Katibu Mkuu Dkt. John Jingu na Mganga Mkuu wa Serikali, wamekuwa mstari wa mbele kutushika mkono na kuhakikisha kila kwenye changamoto tunapata jawabu,” amesema  Prof. Msele.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.