• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Ndalichako apongeza wadau maonesho ya Elimu

Imewekwa tarehe: June 2nd, 2021

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Joyce Ndalichako amefunga maonesho ya pili ya elimu na mafunzo ya ufundi, na kuwashukuru Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi kwa kutambua mchango wa sekta binafsi ikiwemo kushiriki katika maonesho hayo.

Waziri Ndalichako ametoa kauli hiyo wakati akifunga maonesho hayo leo Juni 2, 2021 katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambapo maonesho hayo yamefanyika kwa siku saba. Waziri huyo alisema maonesha hayo yalitanguliwa na kongamano lililofanyika terehe 27 Mei, 2021 ambapo jumla ya washiriki 146 walihudhuria. 

“Napenda nitumie nafasi hii kuwapongeza kwa dhati washiriki wote wa maonesho ya pili ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ambayo yana kaulimbiu ya kuimarisha ushirikiano wa wadau katika kukuza ujuzi wa maendeleo ya uchumi wa viwanda”, alisema Ndalichako.

Waziri huyo wa Elimu alisema kuwa, ana uhakika kuwa ushirikiano uliooneshwa na ujuzi utaendelea kukuzwa, kwani maonesho hayo yatakuwa ni endelevu kwa miaka inayokuja. Pia alisema elimu ya ufundi ni nyenzo kubwa ya kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa haraka kwa sababu mafunzo ya ufundi yanampatia na kumuandaa mhitimu kuwa mbunifu zaidi.

‘’Elimu ya ufundi inahitajika sana katika soko la ajira kwa sababu inaleta maendeleo na matokeo ya haraka endapo itatolewa kwa viwango vinavyotakiwa’’ alisema Ndalichako.

Aidha, alisema katika maonesho hayo vyuo na tasisi za ufundi zimepata fursa ya kueleza na kuonesha kwa wadau kile wanachokifanya katika vyuo vyao au katika taasisi zao. “Ni matarajio yangu kwamba, maonesho haya yameamsha ari mpya ya ushirikiano baina ya wadau na watoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi na kwamba ushirikiano kati ya sekta binafsi na Serikali ni muhimu katika kuboresha utoaji wa elimu ya kati na ya juu nchini” alisema Ndalichako.

Vile vile ametoa pongezi kwa vyombo vya habari kwa kushiriki kwenye maonesho kwa kipindi chote na kuonesha ushirikiano mkubwa katika kuyatangaza.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.