• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Ummy aagiza Sekretarieti za mikoa kuzisaidia Halmashauri

Imewekwa tarehe: April 13th, 2021

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Ummy Mwalimu, amezitaka sekretarieti za Mikoa yote hapa nchini kuhakikisha zinatimiza wajibu wake kwa weredi na kuongeza kasi katika kushauri maswala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya Mikoa hiyo hasa katika ukusanyaji wa mapato ya serikali.

Waziri Ummy ametoa wito huo jijini Dodoma wakati akizungumza viongozi na watumishi wa ngazi zote katika Mkoa wa Dodoma, alipokutana nao kuweka mikakati ya pamoja katika kuendesha Wizara hiyo, amesema sekretarieti za Mikoa ndizo zenye wajibu wa kumshauri Mkuu wa Mkoa juu ya maswala mbalimbali yanayohusu Mkoa husika.

Amewataka kujenga utaratibu wa kuzitembelea halmashauri zote za Mikoa na kwenda kufanya tathmini ya mipango na utekelezaji wake kwa kila robo ya mwaka ili kubaini vikwazo na kuzitatua kwa wakati ili kufikia malengo waliyojiwekea katika halmashauri husika.

“Kila robo ya mwaka mkae kwa pamoja aidha muwaite kwenu au muende kwao mkakae kwa pamoja muangalie mipango yenu imefikia wapi, walitakiwa wakusanye kiasi flani kwanini hawajafika lengo, kuna fedha imekusanywa kwanini haijaingizwa benki, kuna mradi hawajaomba fedha kwanini” amesema Waziri Ummy.

Kuhusu ripoti ya mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG Waziri Ummy amewataka kuwabainisha wote waliohusika katika ubadhilifu,  waliosababisha au uzembe uliofanywa hadi kupelekea halmashauri kupata hati chafu au hati yenye mashaka na kuwachukulia hatua stahiki.

Katika hatua nyingine amewataka kuongeza kasi ya utatuzi wa kero za wananchi kwani amesema kuna malalamiko mengi sana katika maeneo mbalimbali hasa katika maswala ya ardhi huku akiwataka kujenga tabia ya kuwasikiliza wananchi kero zao na sio kuwa wao ndio wawewazungumzaji pekee.

“nilikuwa nazungumza na wakuu wa Mikoa wa zamani wanasema wao walikuwa wakienda hadi ngazi za chini kabisa, lakini sasa hivi huo utaratibu umepungua, nataka wakuu wa Mikoa muende  hadi ngazi za kata mkae huko msikilize kero za wananchi na wakuu wa Wilaya waende hadi ngazi za Kijiji” amesema.

Amepongeza juhudi kubwa zilizofanyika katika Mkoa wa Dodoma katika utendaji kazi na utekelezaji wa miradi na kuwataka kuongeza kasi, amepongeza katika sekta ya elimu kwa kuongeza ufaulu kwa shule za msingi kutoka ufaulu wa asilimia 53 hadi kufikia asilimia 76 na sekondari kutoka asilimia 64 hadi kufikia asilimia 87.

Amepongeza juhudi zilizofanyika hasa katika miradi ya elimu katika ujenzi wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo na ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari, sambamba kwenye sekta ya afya na miondombinu yake.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.