• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

WAZIRI wa Afya atembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

Imewekwa tarehe: January 14th, 2023

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu  akiongozana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu wametembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dar Group Jijini Dar Es Salaam kuona hali ya utoaji huduma katika Hospitali hiyo ambayo sasa ipo chini ya usimamizi wa Taasisi ya JKCI

Waziri Ummy amepongeza uongozi wa Taasisi ya JKCI chini ya Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Peter Kisenge pamoja na Watumishi wote kwa kuanza kufanyia kazi maboresho ya ubora wa utoaji huduma za matibabu katika Hospitali hiyo katika Kipindi cha miezi miwili tangu Taasisi hiyo ipewe jukumu la kusimamia Hospitali hiyo.

Hata hivyo Waziri Ummy Mwalimu amesema kuwa Malengo ya Serikali ni kutanua wigo wa Huduma za Kibingwa hivyo kuitaka Hospitali hiyo kujikita katika utoaji wa huduma za matibabu ya Moyo kwa Watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.

Amesema licha ya huduma nyingine kuendelea kutolewa Hospitali hiyo itakuwa imejikita zaidi kwenye umahiri katika Matibabu ya Moyo kwa Watoto.

“Kuna ongezeko kubwa la mahitaji ya matibabu ya Moyo kwa Mkoa wa Dar Es Salaam na nchi nzima kwa ujumla, na pale JKCI kuna msongamano mkubwa wa wagonjwa, wataalam wetu wanafanya kazi kubwa sana lakini matatizo ya moyo yaongezeka siku hadi siku kwa hiyo matibabu ya moyo yakitolewa hapa pia itasaidia kupunguza msongamano JKCI” amesema Waziri Ummy

Hapo awali Hospitali ya Dar Group ilijengwa kwa ajili ya kutoa Huduma za Afya kwa wafanyakazi wa Viwandani na kusimamiwa na Msajili wa Hazina.

Mnamo mwezi Novemba 2022 Serikali kupitia Wizara ya Fedha, Msajili wa Hazina walifanya maamuzi ya kuichukua Hospitali hiyo na kuipatia Wizara ya Afya kwa ajili ya usimamizi na kutatua changamoto za kiutendaji zilizokuwepo hapo awali.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.