• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Dkt. Ndumbaro ampongeza Rais Samia kusimamia haki za binadamu

Imewekwa tarehe: September 15th, 2022

Na. Sifa Stanley, DODOMA

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro ampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kiongozi ambaye anasimamia haki za binadamu na utawala bora.

 Pongezi hizo alizitoa alipokuwa akihutubia katika kilele cha maadhimisho na maonesho ya miaka 20 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaliyofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma.

Waziri huyo alisema kuwa Rais amekuwa akiongoza nchi kwa kuzingatia haki za wananchi wake na kuzingatia utawala bora katika utekelezaji wa majukumu yake.

“Wenzetu wa Tume wameandaa zawadi mahususi kwaajili ya Rais wetu, mimi kama Waziri wa Katiba na Sheria nafahamu kwa jinsi gani amepigania watu wa Tanzania waweze kupata haki za kiraia, haki za kisiasa, haki za kiuchumi, haki za kiutamaduni pamoja na haki za kijamii. Tunabahati sana kuwa na Rais ambae anazingatia haki za binadamu na hii inatokana na ukweli kwamba kwa mujibu wa Ibara ya 8 ibara ndogo ya kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema wazi kwamba nchi hii ni nchi ya kidemokrasia na yenye kujali misingi ya haki za binadamu kwahiyo haya ambayo Rais anayafanya na Tume inayafanya ni utekelezaji wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania” alisema Dkt. Ndumbaro.

Aidha, Waziri huyo hakuishia kumpongeza Rais lakini pia aliipongeza Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kuendelea kusimamia masuala ya haki za binadamu na wadau mbalimbali wanaoshirikiana na Tume hiyo kwa kuendelea kuiunga mkono Tume katika kutekeleza majukumu yake.

“Tume ya Haki za Binadamu inafanya vizuri na inatoa mchango mkubwa sana katika kusimamia masuala ya haki hapa nchini nawapongeza kwa hilo, lakini pia nichukue nafasi hii kutoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali ambao wanaiwezesha Tume kutekeleza majukumu yake hivyo, kuleta maendeleo ya nchi. Wadau namba moja wako hapa ni waheshimiwa wabunge wanaounda kamati ya bunge ya Katiba na Sheria waheshimiwa hongereni sana, bajeti mnayoipitisha kwa Tume ni msaada mkubwa na mnaifanya Tume itekeleze majukumu yake mbalimbali lakini pia na Taasisi  nyingine za kimataifa zinaisaidia Tume kutekeleza majukumu yake ninawashukuru sana” alisema Dkt. Ndumbaro.

Maadhimisho ya miaka 20 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa mwaka huu yalianza rasmi tarehe 09/09/2022 na kuhitimishwa tarehe 15/09/2022.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.