• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wito watolewa kwa wadau wa maendeleo kufanya kazi kwa ushirikiano

Imewekwa tarehe: August 25th, 2021

Na. Sifa Stanley, DODOMA

MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali yametakiwa kufanya kazi kwa bidii na ushirikiano ili kuweza kufikia malengo yaliyowekwa na mashirika hayo katika kuwahudumia wananchi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii na Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Asha Vuai alipokuwa akifunga kikao cha wadau wa afua za afya ya uzazi na maendeleo ya vijana kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Vuai alisema kuwa ni muhimu mashirika yasiyo ya kiserikali yakafanya kazi kwa ushirikiano. Ushirikiano huo unaweza kuwa baina ya mashirika hayo na serikali ili kufikia malengo yaliyowekwa, aliongeza. Aidha, aliahidi kutoa ushirikiano kwa mashirika hayo ili kuyasaidia kutekeleza majukumu yao.

“Nitatoa ushirikiano pale utakapohitajika. Nipo ofisini kwangu, karibuni mkiwa na uhitaji. Tunajenga nyumba moja yanini kugombania fito? Tushirikiane, napata matumaini kupitia kwenu, maendeleo ya vijana yatapatikana” alisema Vuai.

Nae Afisa Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mufungo Manyama alipokuwa akiongea na wadau wa afua za afya ya uzazi na maendeleo ya vijana alisisitiza wadau kufanya kazi kwa pamoja na kwa ushirikiano ili kunufaisha jamii na taifa “ninachotaka wadau tufanye kazi kwa pamoja. Waswahili wanasema ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako, lakini ukitaka kufika haraka nenda peke yako. Kwahiyo, sisi twende pamoja” alisema Manyama.

Kwa upande wake, Afisa Uraghibishi wa Mradi wa Shirika la Dodoma Youth Development Organization (DOYODO), Hawa Ally alitoa rai kwa washiriki wengine kushirikiana ili waweze kuinufaisha jamii kupitia miradi wanayofanya. “Tuwe tunaungana kwa pamoja kupitia hivi vikao, ili tuweze kufanya kazi kwa pamoja na kuepuka kurudiarudia mradi mmoja unaofanana kwa mashirika yote ndani ya kata moja” alisema Ally.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.