• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wizara ya Afya kuanza ujenzi wa jengo la ofisi Mtumba

Imewekwa tarehe: November 4th, 2021

WIZARA ya Afya Maendenleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imepanga kukamilisha jengo la ghorofa tisa ndani ya miezi 24 ambalo litakuwa na uwezo wa kuchukua watumishi 400, imebainishwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Wtoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa ujenzi na kukabidhiana eneo la ujenzi katika eneo la Mtumba, mji wa Serikali mwanzoni mwa wiki hii.

Akiongea wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba huo, Novemba 02, 2021  Dkt. Gwajima amesema makubaliano baina ya Wizara na Mkandarasi Nandhra wa mjini Morogoro, yamekuja baafa mara baada ya Serikali ya Rais wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan kutoa fedha kiasi cha bilioni 23 kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo la Wizara ambalo litajumuisha Idara kuu Afya ya Jamii Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii na kwamba, ni imani mradi utaanza kwa wakati na kukamilika ndani ya miezi 24 kama ilivyopangwa.

"Hatutegemei kipindi cha miezi 24, kipite kama maelekezo ya Serikali yalivyotaka halafu kazi iwe haijakamilika, niimani yetu Mkandarasi atakuwa na mpango kazi utakaoainisha kila siku nini kitakuwa kinafanyika" Amesema Waziri Gwajima.

Dkt. Gwajima ameitaka Idara ya Tathmini na Ufuatiliaji ndani ya Wizara kutowaachia kazi Mkandarasi na kukaa pembeni badala yake waweke kadi ya maendeleo ya (score card) ya ujenzi na iwe inakaguliwa kila jumatatu ili kubaini maendeleo ya ujenzi, huku akihimiza viongozi wa Wizara kufanyia vikao vyao eneo la ujenzi (site meetings).

Kwa upande wao Wakala wa Ujenzi Nchini (TBA), ambaye ni Mkandarasi Mshauri, amemhakikishia Mhe. Waziri na ujumbe wake kuwa, Mkandarasi huyo, watamsimamia ili kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo ndani ya kipindi ambacho kimepangwa au chini ya hapo, huku akisema anaimani na Mkandarasi Nandhra kutokana na uzoefu wake.

"Mhe. Waziri Mkandarasi aliyepewa jukumu hili, anafahamika kwa sifa yake ya kuwa mkandarasi daraja la kwanza, tunaimani kabisa, kazi hii itakamilika kwa wakati kama ilivyopangwa." Alisema Msanifu Majengo Wencelaus Kizaba kutoka TBA, na kuongeza kuwa , tayari taasisi hiyo imepeleka wataalam 17 katika eneno hilo la Mtumba.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.