• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wizara ya Afya kubeba jukumu la kusimamia usafi wa mazingira

Imewekwa tarehe: November 20th, 2022

KATIKA kuhakikisha msingi wa Sera ya Afya ya mwaka 2007 kwamba "KINGA NI BORA KULIKO TIBA" inazingatiwa, Wizara ya Afya imeamua kubeba jukumu la kusimamia Usafi wa Mazingira moja kwa moja kupitia Idara ya Kinga ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko.

Akizungumza jijini Dodoma, wakati wa kilele cha Wiki ya Usafi wa Mazingira Kitaifa na Siku ya Matumizi wa Choo Duniani na utoaji wa tuzo za Usafi, Naibu katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt.Seif Shekalaghe amesema kuwa,usafi wa mazingira kwa ujumla wake unachangia kwa sehemu kubwa kuzuia magonjwa ya kuambukiza na yasiyoambukiza.

"Kwa kuwa leo ni kilele cha Wiki ya Usafi wa Mazingira nchini, napenda kuikumbusha jamii umuhimu wa kuweka mazingira katika hali ya usafi,Sote ni mashahidi kwamba, hali ya usafi katika maeneo mengi bado si ya kuridhisha sana,atika baadhi ya maeneo udhibiti wa taka ngumu na majitaka haufanyiki kwa kiwango cha kuridhisha na hivyo kupelekea kuwepo kwa uchafu uliokisiri hali inayohatarisha afya ya jamii,

Na kuongeza kuwa " Kutokana na msingi huu, Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeunda Kitengo katika Halmashauri zote kusimamia suala la Udhibiti wa Taka na Usafi. Kitengo hiki kina jukumu la kusimamia shughuli zote za usafi wa mazingira katika Halmashauri. 

Wizara ya Afya kupitia vitengo hivi imebeba jukumu la kutoa Miongozo ya Kisera kwenye Kitengo hiki ili kiweze kutekeleza vema majukumu yake kwani madhara ya uchafu huigusa sekta ya afya zaidi pengine kuliko sekta nyingine yoyote, Mfano, kunapotokea magonjwa ya mlipuko kama vile, kipindupindu, kuhara na kuhara damu sekta ya afya ndio hubeba jukumu kwa sehemu kubwa kukabiliana na milipuko ya aina hii," Amesema Dkt.Shekalaghe

Dkt. Shekalaghe amedokeza kuwa, uwepo wa vyoo bora kwa upande wa kaya umeongezeka sana katika kipindi cha miaka kumi iliyopita ambapo kwa sasa vyoo bora katika ngazi ya kaya umeongezeka kutoka asilimia 19.5 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 72.6 mwaka 2022,huku Kaya zisizokuwa na vyoo kabisa
zimepungua kutoka asilimia 20.5 hadi kufikia asilimia 1.4 sasa.

Aidha, Dkt. Shekalaghe amesema kwa ujenzi wa vyoo bora pamoja na uwepo wa huduma za maji safi na salama umeongezeka.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.