• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wizara ya Afya kuendelea kushirikisha wadau katika kuboresha huduma nchini

Imewekwa tarehe: May 6th, 2023

WIZARA ya Afya itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa kisekta katika kuhakikisha huduma za afya zinazotolewa nchini zinapatikana karibu na wananchi na kwa ubora wa hali ya juu.

Hayo yalisemwa na Naibu Katibu Mkuu Dkt. Grace Maghembe jijini Dodoma wakati wa kikao cha kisekta kilichoandaliwa na Wizara ya Afya na kuwashirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo wanaofanya kazi na Wizara ya Afya pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya kilimo na Wizara ya elimu.

Dkt. Maghembe alisema lengo la kikao hicho ni kutoa taarifa ya utekelezaji wa afua mbalimbali za afya iliyofanyika sambamba na kupanga mipango kwa pamoja ya kuendelea kuboresha huduma za afya.

"Wizara ya afya inawajibika kutoa mrejesho wa wale ambayo tumekubaliana kwamba tutatekeleza yamefikia wapi ikiwemo afua za mama na mtoto, magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza, ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya afya na hasa afya ya msingi pamoja na maeneo mengine". Alisema Dkt. Maghembe.

Naibu Katibu Mkuu huyo aliongeza kuwa kikao hicho kimelenga kuongea na wadau hao kuhusu vipaumbele vya Serikali ikiwemo uimarishaji wa rasilimali watu katika ya msingi, upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi katika maeneo yote pamoja na kufikisha huduma za kibingwa kwa wananchi wa chini.

Naye Mkurugenzi wa huduma za afya, ustawi wa jamii na lishe kutoka TAMISEMI Dkt. Ntuli Kiologwe alisema kikao hicho ni cha kiufundi ambacho kiko kwenye kalenda za afya chenye lengo la kujadiliana hoja zilizoibuliwa katika kikao cha Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri na kuwekea mikakati mbalimbali ya utekelezaji katika kipindi cha miezi 12 ijayo.

Mwenyekiti wa wadau wa maendeleo sekta ya Afya, Getrude Mapunda alisema kikao hicho kinawapa mwanga wa mwelekeo wa Serikali kwa kuangalia utekelezaji wa miradi kwa mwaka 2021/2022 na kutafuta suluhu ya pamoja katika changamoto zilizojitokeza.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.