• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wizara ya Afya yarejesha usimamizi wa miradi ya ujenzi wa hospitali kwa mikoa

Imewekwa tarehe: September 4th, 2021

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imerejesha usimamizi wa ujenzi wa miradi ya Hospitali za Rufaa za Mikoa kwa Makatibu Tawala wa Mikoa ili kuongeza ufanisi zaidi kutokana na mikoa kuwa karibu zaidi na hospitali hizo.

Hayo yamesemwa jana tarehe 3 Septemba, 2021 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Idara Kuu ya Afya, Prof. Abel Makubi wakati akiongea na waandishi wa habari Jijini Dodoma.

"Kutokana na umuhimu wa kuzishirikisha Ofisi za Wakuu wa Mikoa katika utekelezaji wa miradi hiyo muhimu kwa jamii, kuanzia sasa, Wizara inarejesha jukumu la usimamizi wa utelekezaji wa miradi mingine ya Mikoa kwa Makatibu Tawala wa Mikoa husika ambapo kuna miradi ya aina hiyo inayoendelea kutekelezwa," alisema Prof. Makubi.

Aliendelea kusema kuwa, Wizara itasaini makubaliano ya usimamizi wa Hospitali hizo na Makatibu Tawala wa Mikoa 'MoU' kama inavyofanyika katika Mkoa wa Katavi ili kubainisha majukumu ya usimamizi yatakayofanywa na kila upande, lengo likiwa ni kuongeza ufanisi katika usimamizi wa miradi hiyo ili ianze kutoa huduma. 

Aidha, alisema kuwa Wizara itahusika na kufuatilia upatikanaji wa fedha kutoka vyanzo mbalimbali na pindi fedha zitakapopatikana zitahamishiwa hazina ndogo mkoani Katavi kwa ajili ya utaratibu wa malipo ili hatua za umaliziaji wa Hospitali hiyo uendelee. 

Katibu Tawala Mkoa wa Katavi ataunda Kamati zote zinazohisika na utekelezaji wa mradi kwa ngazi zote ambazo Kamati hizo ni Kamati ya ujenzi, Kamati ya Manunuzi, Kamati ya Ukaguzi na Mapokezi, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Kamati ya Utunzaji wa Vifaa na Kamati ya Ukaguzi na Ufuatiliaji wa Mradi, alisema kwa msisitizo Makubi.

Hata hivyo, Prof. Makubi aliweka wazi kuwa, fedha za utekelezaji wa mradi, kiasi cha shilingi milioni 688 tayari zipo hazina ndogo mkoani Katavi ili kuwezesha Ofisi ya Katibu Tawala kutoa malipo kwa ajili ya kuendeleza hatua za ujenzi zinazofuata.

Vile vile, Prof. Makubi alisema kuwa, Wizara imeshaandaa mahitaji halisi ya vifaa, samani, TEHAMA na wataalam, huku akisisitiza kuwa Wizara itaendelea kushirikiana kwa kaeibu na Ofisi ya Mkoa wa Katavi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.