• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Yaliyojiri kwenye utiaji saini makubaliano uchimbaji madini kati ya Tanzania na Barrick

Imewekwa tarehe: January 24th, 2020

Rais Daktari John Pombe Magufuli:

Ndugu Watanzania, Kukaa meza ya Mazungumzo na Kigogo hiki Barrick, chenye msuli mkubwa wa uwezo na Ushawishi, haikua kazi rahisi.

Nampongeza sana Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Paramagamba Kabudi, aliyeongoza timu ya Wataalamu Wazalendo kufanikisha jambo hili.

Mazungumzo hayo yalichukua miaka mitatu yakianzia mwaka 2017 mpaka leo tunapotia saini makubaliano baina yetu na Barrick.

Mkasimamie vyema makubaliano haya na kwenu Wizara ya Madini, Nawaomba kuhakikisha Watanzania watakaopewa dhamana kwenye Kampuni ya pamoja baina ya Tanzania na Barrick ya Twiga Mineral Corporation, kuhakikisha kuwa Wanaangalia maslahi ya nchi na si yao binafsi.

Naweza kusema kuwa Majadiliano haya yalikua ni vita ya Tembo na Sungura, lakini kwa hatua ya leo ni sawa na kusema vita imeisha kwakua lengo lilikua pande zote kufaidika na wamekubali.

Profesa Palamagamba Kabudi:

Kubwa katika Mazungumzo yetu tulikubaliana kuunda kampuni ya Twiga Mining Corporation, ambayo Barrick atakua ni mbia ndani ya kampuni hiyo.

Watanzania muelewe kuwa Serikali itashiriki maamuzi ya kila kitu katika kampuni hiyo ya Twiga Mineral Corporation, ambayo Serikali itakua na hisa za asilimia 16 na siyo Twiga tu bali asilimia 16 kwa migodi yote.

Nyie Barrick Ondoeni Mtazamo kua kuna Barrick Tanzania bali ni mbia wa Twiga Mineral Corporation iliyoundwa Septemba 10, 2019.

Mark Bristow - Rais na Mtendaji Mkuu Barric:

Mheahimiwa Rais, hii ni siku ya kipekee barani Afrika, tuna furaha kuanza upya ushirika wetu, tunakubali kuwa awali  kulikua kuna tatizo mashaka, lakini sasa tuko tayari kuwa na mwanzo mpya wenye faida kwa pande zote.

Kuna baadhi ya Watanzania, walivumisha kuwa eti Tanzania inataka kuwakera wawekezaji, siyo kweli na niko hapa kuwahakikishia kuwa huo ni uzushi na kwamba inachokifanya Tanzania, ni kitu chema kwa maslahi ya Watanzania.

Picha za matukio mbalimbali wakati wa hafla hiyo:




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.