• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Yaliyojiri siku ya uzinduzi mradi wa maji Kibamba-Kisarawe

Imewekwa tarehe: June 28th, 2020

Yaliyojiri Juni 28, 2020 wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizindua mradi wa maji Wilayani Kisarawe

Aliyosema Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Wakati nazindua mradi wa Ruvu Juu niliumia kuona Wilaya kongwe ya Kisarawe ina changamoto ya maji, ndio maana niliamua kutoa agizo kuwa maji yafike wilayani humo. Nawapongeza DAWASA kwa kuamua kuuendeleza mradi huu mpaka Pugu.

Lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama, Serikali imetoa zaidi ya TZS Trilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya maji Vijijini ambapo upatikanaji umefikia asilimia 70.1 na Mijini ni asilimia 84.

Jumla ya TZS Bilioni 17.25 imetumika kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu, natoa agizo la kujengwa barabara ya lami kutoka Kisarawe hadi mbuga ya Nyerere kwani hatuwezi kuwa na mbuga kubwa tena yenye jina la Baba wa Taifa halafu kusiwe na barabara.

Naupongeza Mkoa huu kwa kuendelea kufungua uchumi, mmeongeza viwanda  kutoka 395 mwaka 2016 hadi 1,192 mwaka 2020 ambavyo vimetoa ajira za moja kwa moja takribani 30,000.

Natoa agizo kwa viongozi wa Wilaya ya Kisarawe kuangalia upya suala la stendi mpya ili kuondoa changamoto zilizopo, suala la barabara ya kutoka Kisarawe kwenda Kibaha nimelichukua.

Natengua uteuzi wa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe kwa kufanya mambo ambayo hayaendani na maadili ya kazi yake, nawaagiza viongozi husika  kumpangia kazi ya chini ambayo ana uwezo nayo na asifanye wilayani hapa.

Rais Dkt. John Magufuli amemteua aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya ya Kisarawe, Mwanana Msumi kuwa Katibu Tawala wa Wilaya hiyo baada ya kutengua uteuzi wa Katibu Tawala aliyekuwepo.

Alichosema Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Cyprian Luhemeja

Hali ya upatikanaji wa maji kwa Pwani ni nzuri, Vijijini ni 66.6 na Mijini ni 88, DAWASA inaendelea na miradi takriban minne na Wizara ya Maji imekamilisha mradi mkubwa katika Kisiwa cha Jibondo.

Mradi wa maji kutoka Kibamba hadi Kisarawe unaozinduliwa leo umegharimu TZS Bilioni 10.6, mradi huu una awamu ya pili ambayo itagharimu TZS Bilioni 7.3, awamu hii imeshaanza.

Mradi huu umetokana na maelekezo yako Rais Magufuli uliyoyatoa mnamo mwaka 2017 wakati ukizindua mradi wa maji Ruvu Juu, mradi huu umetekelezwa kwa miezi 14.

DAWASA inaendelea na utekelezaji wa miradi mikubwa 28 inayogharimu TZS Bilioni 56 na miradi 526 imekamilika kwa gharama ya TZS 11.4 pia tumeongeza ajira kutoka 850 mwaka 2015 hadi 2,150 mwaka 2020.

Lengo la DAWASA ifikapo mwaka 2025 ni kuhakikisha wananchi wote wa Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam wanapata maji safi na salama.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.