• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ziara ya DOYODO Zanzibar yafana

Imewekwa tarehe: July 15th, 2021

TAASISI ya Maendeleo ya Vijana Mkoani Dodoma – DOYODO ilifanya ziara ya kutembelea Baraza la Vijana Zanzibar na Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa lengo la kujifunza namna vijana wanavyoshirikishwa katika ngazi za maamuzi ikiwemo ushiriki wa vijana katika Baraza la Wawakilishi.

Ziara hiyo iliwajumuisha Afisa Vijana kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Idara Kuu ya Maendeleo ya Vijana, Atupokile Mhalila, Afisa Vijana Mwandamizi Mkoa wa Dodoma, Tumsifu Mwasamale, Mkurugenzi Mtendaji wa DOYODO, Rajabu Juma Suleman, Meneja Miradi wa DOYODO, Charles Ruben na wawakilishi wa vijana wawili.

Mkurugenzi Mtendaji wa DOYODO, Rajabu Juma Suleiman alipata wasaa wa kufanya mazungumzo na mmoja wa Wawakilishi wa Baraza hilo kutoka Jimbo la Mwera Mhe. Mihayo N’hunga ambaye alielezea kuwa asilimia kubwa ya Wajumbe Baraza la Wawakilishi na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni vijana ambapo pia alifafanua namna Baraza hilo linavyotoa fursa kwenye Baraza la Vijana Zanzibar.

Fursa zingine ambazo Baraza la Vijana Zanzibar ambalo lilianzishwa mwaka 2015 linazozitoa kwa vijana ni pamoja na kuanzisha miradi ya maendeleo, miongoni mwa miradi iliyoanzishwa ni Miradi ya Ufugaji Kuku, Kilimo cha kitalu nyumba (Green House) na ushonaji.

Aidha, Baraza hilo limejikita katika kuwapatia vijana fursa za kushiriki katika ngazi mbalimbali za maamuzi hususani vikao vya bajeti za maendeleo.

Vile vile kuna mradi wa Redio ya Kati FM ambao ulifadhiliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan mwaka 2019 wakati huo akiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Vile vile ipo miradi ya Usafi wa Miji inayoendeshwa na vijana.

Timu hiyo ilipata nafasi ya kujifunza mengi juu ya Baraza la Vijana Zanzibar na umuhimu wake kwa jamii. Timu hiyo ilielezwa kuwa Baraza la Vijana Zanzibar limegawanyika katika ngazi tatu ambazo ni Baraza la Vijana Taifa, Baraza la Vijana Wilaya na Baraza la Vijana Shehia.

Chanzo: Idara ya Habari na Mawasiliano - DOYODO

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.