• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ziara ya Rais Samia Marekani yazaa matunda

Imewekwa tarehe: October 9th, 2024

Na WAF, DAR ES SALAAM

ZIARA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Marekani imeendelea kuzaa matunda, kufuatia makubaliano ya kuanzisha kituo cha ubora wa huduma za saratani barani Afrika, kitakachojengwa mjini Dodoma.

Hayo yamejiri kwenye ujio wa Mkurugenzi wa Mass General Brigham Global Advisory Dkt. Smail Ait Ali, kutembelea Taasisi ya Saratani Ocean Road na Hospitali ya Benjamin Mkapa akiongozwa na mwenyeji wake Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ambapo wamekubaliana kuweka mipango ya kimkakati na uundaji wa ushirikiano wa kimataifa wa huduma za afya katika Mass General Brigham, shirika kubwa la afya lenye makao yake Massachusetts, Marekani.

Dkt. Smail amebainisha kuwa mara baada ya kukamilika kwa jengo maalum la kuhudumia wagonjwa wa saratani itafungwa mashine ya "proton therapy" yenye thamani ya shilingi bilioni 178 ambayo itakuwa msaada mkubwa si tu kwa Watanzania, bali kwa waafrika wengine, kwani itapunguza rufaa za nje ya nchi kwa matibabu ya saratani.

Akifafanua juu ya mradi huo ambao utafungwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema mradi huo ni matokeo ya juhudi za Rais Samia kuvutia uwekezaji wa kimataifa kwenye sekta ya afya, akieleza kuwa lengo ni kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha tiba barani Afrika, kama inavyovutia watalii kwa wanyamapori.

Dkt. Mollel ameeleza kuwa mashine hiyo itasaidia kupunguza rufaa za matibabu nje ya nchi na pia kuongeza mapato ya kigeni kwa kuvutia watu wengi kutoka mataifa mengine ya Afrika.

"Marekani imekubali kujenga kituo hiki cha ubora na kufunga mashine hii ya kisasa ambayo itapatikana Tanzania pekee barani Afrika," amesema Dkt. Mollel, na kuongeza kuwa

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Julius Mwaiselage, amesisitiza umuhimu wa mradi huo kwa Tanzania, akisema kuwa unaiweka

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.