• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waziri Mkuu akagua miradi ya kimkakati

Imewekwa tarehe: October 21st, 2018

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) leo Jumapili Oktoba 21 amefanya ziara ya kikazi katika Jiji la Dodoma ambapo alipata nafasi ya kuzungumza na watumishi wa Halmashauri ya Jiji na watumishi kutoka taasisi mbalimbali zilizopo Jijini Dodoma, ambapo aliwapongeza kwa kuvuka lengo la ukusanyaji mapato ya ndani na kuwataka watumishi hao kusimamia vizuri matumizi ya fedha za serikali, kabla ya kutembelea miradi mikubwa ya ujenzi wa miuondombinu ikiwemo Stendi Kuu ya Mabasi, Soko Kuu la kisasa, na eneo la uwekezaji la Njedengwa.

Aidha, alisema amepata faida kwa kupata nafasi ya kuonana na watumishi wa umma kwa karibu na kuwakumbusha kutekeleza wajibu wao wa utendaji kazi, huku akiwakumbusha na kuwasisitiza kubadilika na kufanya kazi kwa bidii zaidi ili kufikia malengo ya maendeleo ya Taifa na kila mmoja ajue msimamo wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Alisema  kuwa Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuwahudumia wananchi wake kwa kuimarisha utoaji huduma mbalimbali  kamba vile huduma za afya, maji, elimu, kilimo, ufugaji, makazi, kutenga na kupima ardhi, na kadharika.

Katika ziara hiyo, Mhe. Waziri Mkuu alipata nafasi ya kutembelea na kufungua ofisi kuu ya kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Makutupora na baadaye kutembelea kiwanda cha kusindika zabibu cha Alko Vintage kilichopo eneo la Makole ambapo alikagua uzalishaji wa mvinyo.

Baada ya hapo msafara wa Mhe. Waziri Mkuu ulitembelea maeneo ya Nzuguni na kuona shughuli za ujenzi wa Standi kuu ya mabasi na Soko kuu la nafaka na mbogamboga na kisha kwenda kuzindua mradi wa maji eneo la uwekezaji mkubwa lililopo Njedengwa.

Mhe. Waziri Mkuu alikuwa akihitimisha ziara yake ya kuutembelea mkoa wa Dodoma kwa kutembelea wilaya ya Dodoma, ambapo awali alitembelea Wilaya za Kondoa, Chemba, Mpwapwa, Kongwa, Bahi na Chamwino ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kushoto) alipotembelea Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Makutupora na kufungua ofisi kuu ya Kikosi. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi

Mhe.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya ramani na mchoro wakati wa ziara yake leo Oktaba 21, 2018 kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Ardhi na Mipango miji Joseph Mafuru.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.