• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mvua zaathiri miundombinu, makazi Zuzu; Mhe. Mavunde afika kutoa pole

Imewekwa tarehe: January 21st, 2020

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde amekagua miundombinu ya barabara na nyumba zilizobomoka katika kata ya Zuzu kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dodoma na kujionea mwenyewe uharibifu mkubwa uliojitokeza.

Akitoa taarifa, Diwani wa kata ya Zuzu Mhe. Awadh Abdallah akiwa pamoja na Mtendaji wa Kata Mabrouk Seif, amebainisha kwamba wananchi takribani 286 nyumba zao zimepata uharibifu  hali ambayo imepelekea wengi kukosa makazi ya kudumu na kupoteza mali nyingi pamoja na vyakula huku miundombinu ya barabara ikiwa imeharibiwa kwa kiwango kikubwa.

Akiongelea hali hiyo Mhe. Mavunde alisema, "Nimekuja kukagua miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua na pia kuwapa pole wananchi ambao nyumba zenu zimebomolewa na mvua hizi, niwaombe wananchi tuendelee kuchukua tahadhari kutokana na mvua hizi ili zisilete madhara zaidi. Nitaendelea kuwa pamoja nanyi kutatua changamoto zinazowakabili hasa katika kipindi hiki na leo nimewaletea unga wa sembe tani 1 magunia ya maharage na maji".

Wananchi wa kata ya Zuzu wamemshukuru Mbunge Mavunde kwa namna anavyojitoa katika matatizo ya wananchi wa jimbo lake na kuwajali katika shida zao kwa kuwapatia misaada ambayo imesaidia kwa kiasi kikubwa kuwapunguzia changamoto za mahitaji ya chakula na makazi katika kipindi hiki.

Tazama picha za matukio mbalimbali za ziara ya Mbunge Anthony Mavunde katika kata ya Zuzu:


Diwani wa kata ya Zuzu Awadh Abdallah akitoa taarifa ya madhara yaliyowakumba wananchi wa Zuzu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dodoma, kulia ni Mabrouk Seif, Mtendaji wa kata ya Zuzu.

 

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mhe. Anthony Mavunde akiongea na wananchi wa Zuzu, alipowatembelea ili kuwapa pole na kutoa misaada kwa wananchi hao.


Mheshimiwa Mavunde akingalia baadhi ya nyumba zilizoathirika na mvua na kusababisha adha kwa wananchi wa Zuzu.



Viroba vya unga kiasi cha tani moja ambao Mhe. Mavunde ametoa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Zuzu walioathirika na madhara ya mvua.


Mheshimiwa Mavunde akiwaaga wananchi wa Zuzu baada ya kuwatembelea kwa lengo la kuwapa pole na kutoa misaada ya kijamii.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.